Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Sijui umetumia kigezo gani kusema kuwa Obama ni tough "kuliko viongozi" weng waliomtangulia. Naomba unipe vigezo tafadhali...
1.Kukubali wa Russia kupunguza nguvu za makombora yake yanayolekea uelekeo wa Poland na nchi zingine za Ulaya Mashariki baada ya kukubaliana na serikali ya Washington;kwa mara ya kwanza Russia kukubali masharti ya USA diplomatically!
2.Kuachiwa bila masharti yeyote kwa waaandishi wawili wa USA walioshikwa na hatimaye kuhukumiwa na mahakama halali nchini Korea.
Swali lingine??????????