nahisi hii drone imejicaptchisha makusudi ili wapime capturing technics za wa Iran alafu walivyo bogus wataipeleka kwenye viwanda vyao na military bases kumbe inaedelea kunasa data. Wanacheza na watu wanye uwezo wakutuma kifaa hadi mars na kinaendelea kufanya utafiti chenyewe na kutuma data kila siku. Poor iraq, so naive