Ndege zenyewe zimeshambulia zikiwa anga la Syria na Iraq,hii inajulisha IAF ni COWARDS waoga.
Kama wangekua na ubavu wangeingia Iran airspace na ndege zao.
Ila wameshambulia wakiwa anga la Syria na Iraq tena kwa kutumia kambi za USA zilizopo hayo maeneo.
Kitu cha pili viwanda vyote wanavyodai kupiga facility zake zipo underground kuanzia uzalishaji silaha hadi utunzaji upo mita 300 chini.
No way wameharibu kitu,ni sawa wamepiga empty space.
Kama ingekua hivyo tungesikia vifo vingi na maafa mengi sana.
Cha mwisho,kitendo cha kutumia ndege 100 na madhara kuwa madogo inajulisha Israel ni taifa dhaifu mbele ya Iran.
Sasa subirini Iran ajibu mara elfu aliyoahidi.