Safi sana.BREAKING: Iran has launched an aerial strike involving drones and missiles that hit Saudi Arabia’s major Saudi Aramco oil refinery and export hub at Ras Tanura on the Gulf coast, forcing the facility to temporarily shut down operations as a precautionary measure.
Mmeanza kuishauri Iran sasaHuu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.
Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Kila anapopga Iran ufaham pana maslahi ya moja kwa moja na America,Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.
Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Neno lolote linalotoka kwa Trump au moja kwa moja kutoka serikali ya Iran sio la kuamini,Five Iran naval ships have been sunked (TRUMP).
More than 555 Iranians have so far been killed (RED CRESENT)
huna akili weweSafi sana.
Huu ushauri wako Iran hatutaki wapelekee marekaniHuu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.
Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Safi sana, hawa vibaraka wanageuka jirani zao kisa wazungu!!Iran has launched an aerial strike involving drones and missiles that hit Saudi Arabia’s major Saudi Aramco oil refinery and export hub at Ras Tanura on the Gulf coast, forcing the facility to temporarily shut down operations as a precautionary measure.
Acha wanyoroshanehuna akili wewe
Unafikiri bei ya petrol ikipanda Nauli ya Dar mwanza ikawa laki tatu kwa basi ni sawa?
Ujinga kumsaidia adui wa jirani yako.Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.
Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Ndiyo maana inatakiwa dunia nzima wakemee uhuni wa kuvamia mataifa mengine na kuuwa viongozi wao.huna akili wewe
Unafikiri bei ya petrol ikipanda Nauli ya Dar mwanza ikawa laki tatu kwa basi ni sawa?
Ukikaribisha adui na ukaishi nae kwako usinipangie namna ya kushughulika nae. Maana ninyi nyote ni wanafiki na ni maadui mipango yote ya kunidhuru mnaipanga kwa pamoja!Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.
Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Saudia ni puppets wa Israel na US.Je saudia ina ugomvi na iran? Kulenga maeneo ya kimkakati ya marekani ndani ya nchi nyingine ni uchokozi na inatakiwa yajibiwe haraka na kwa nguvu zote. Naona iran inaenda kusambaratika.