Balozi huruhusiwi kushiriki katika maandamano ndani ya nchi husika otherwise unakuwa termed kama ume incite hayo maandamano so wana deal na wewe kama muhalifu mwingine. So kwa Iran kumtia nyavuni huyu kiherehere wametimiza takwa la kisheria kabisa na serikali ya wingereza ilitakiwa iwapongeze wairan sio kuwalaumu.