kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
URUDISHWAJI WA MAHUSIANO MWEMA KATI YA SAUDI ARABIA NA IRAN KUTAIFANYA SAUDIA KUJIUNGA NA BRICS
Saudia ina nafasi nzuri kwa kujiunga na Brics kutokana na kurudisha uhusiano mwema na mpinzani mkubwa ambaye alikuwa Iran na nchi hizo mbili zina nafasi kubwa ya kujiunga na Brics huku pesa ya Uchina kwasasa inatumika katika soko la biashara na kuachana na pesa ya Marekani(dollars).
Saudi Arabia na Iran zitajiunga na BRICS muda wowote kuanzia hivi sasa huku miamba hiyo mikubwa yenye utajiri wa mafuta duniani zikiwa mbioni kuunda pesa yao itakayotumika kwenye soko la biashra na kuibwaga dola
Pia
NDEGE ZA KIVITA ZA IRAN ZARUKA MPAKANI KATI YA AZERBAIJAN NA IRAN.
Ndege za kivita za Iran leo hii asubuhi ziliruka kwenye mpaka kati ya Azerbaijan na Armenia huku pia zingine zikiruka mpakani kati ya Azerbaijan na Iran kilometers 3 kutoka mpakani mwa nchi hizo mbili.
Waziri wa mambo ya nje wa Azerbaijan aliupigia simu ubalozi wa Iran uliopo nchini Azerbaijan ili uweze kutoa maelezo zaidi kuhusiana na ndege hizo za kivita kuruka kwenye mipaka ya Azerbaijan.
UHUSIANO MWEMA WA IRAN NA URUSI NI JINAMIZI KWA MAREKANI.
Marekani imeingiwa na wasiwasi mkubwa kuhusiana na ukaribu mkubwa kati ya Urusi na Iran has a pale Marekani inavyoishutumu Iran kuipa silaha za kivita Urusi huku Urusi nayo ikiwa bega kwa bega na Iran katika Ushirikiano wa uundwaji was silaha pamoja na masuala ya kijeshi.
Saudia ina nafasi nzuri kwa kujiunga na Brics kutokana na kurudisha uhusiano mwema na mpinzani mkubwa ambaye alikuwa Iran na nchi hizo mbili zina nafasi kubwa ya kujiunga na Brics huku pesa ya Uchina kwasasa inatumika katika soko la biashara na kuachana na pesa ya Marekani(dollars).
Saudi Arabia na Iran zitajiunga na BRICS muda wowote kuanzia hivi sasa huku miamba hiyo mikubwa yenye utajiri wa mafuta duniani zikiwa mbioni kuunda pesa yao itakayotumika kwenye soko la biashra na kuibwaga dola
Pia
NDEGE ZA KIVITA ZA IRAN ZARUKA MPAKANI KATI YA AZERBAIJAN NA IRAN.
Ndege za kivita za Iran leo hii asubuhi ziliruka kwenye mpaka kati ya Azerbaijan na Armenia huku pia zingine zikiruka mpakani kati ya Azerbaijan na Iran kilometers 3 kutoka mpakani mwa nchi hizo mbili.
Waziri wa mambo ya nje wa Azerbaijan aliupigia simu ubalozi wa Iran uliopo nchini Azerbaijan ili uweze kutoa maelezo zaidi kuhusiana na ndege hizo za kivita kuruka kwenye mipaka ya Azerbaijan.
UHUSIANO MWEMA WA IRAN NA URUSI NI JINAMIZI KWA MAREKANI.
Marekani imeingiwa na wasiwasi mkubwa kuhusiana na ukaribu mkubwa kati ya Urusi na Iran has a pale Marekani inavyoishutumu Iran kuipa silaha za kivita Urusi huku Urusi nayo ikiwa bega kwa bega na Iran katika Ushirikiano wa uundwaji was silaha pamoja na masuala ya kijeshi.