Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
facilities nyingi za kutengeza ndege vilikua katika baadhi ya jamhuri zilizojitenga mfano ukraine,kwahiyo Russia ilibidi aanze upya kuset hizo facilities katika Russia,ila technology walikuwa nayo,ndo maana bado walikuwa wakiweza kuunda mandege makubwa kama TU-160 ambayo ukitaka unaibadili kuwa commercial airlines bila shida.maneno mengii! kwa mantiki yako hata tanzania tunakuja juu make tayari tushatengeneza ya kwetu
Nadhani ndege za abiria hawakuiweka first priority mpaka sasa baada ya kugundua kumbe kuna pesa ndefu pande hizo