Iran: Israel isitutishe na F-35, jibu letu kwa chokochoko zake litakuwa kali

Hawakuepo pale, wamekuja kuwekwa na Uengereza na wakapewa silaha na hela
Huu unaoandika ni ujinga wa kihistoria. Israeli kama taifa imekuwepo kabla ya Great Britain. Soma kwenye historia uone.

Unajua walikuwepo wakati Misri ikiwa superpower? Mfalme wa Israel alikuwa upande wa farao Neko alipopambana na Wakaldayo katika vita ya Kakemishi?

Wamekuwepo enzi za wafalme wengi akiwemo Iskanda mkuu na baadaye majenerali wake Kasanda, Lysimaki , Selukasi, na Tolemi?

Kapitie maandiko ya Wanahistoria wa kirumi walipotembelea mashariki ya kati waliwakuta akina nani pale.

Israeli imekuwapo maelfu ya miaka. Kusema wameletwa na Waingereza ni kukosea. BTW waingereza hawakutaka Wayahudi wakae pale. Soma historia uone walivyokuwa wanawazuia.
 
Izrail ilipata laana walitawanyika hawajulikani nchi yao ni ipi, kila sehem ya Dunia wamekwenda kutumwa ndio wakazaliana huko, walikua wakimbizi Dunia nzima
Huu unaoandika ni ujinga wa kihistoria. Israeli kama taifa imekuwepo kabla ya Great Britain. Soma kwenye historia uone.

Unajua walikuwepo wakati Misri ikiwa superpower? Mfalme wa Israel alikuwa upande wa farao Neko alipopambana na Wakaldayo katika vita ya Kakemishi?

Wamekuwepo enzi za wafalme wengi akiwemo Iskanda mkuu na baadaye majenerali wake Kasanda, Lysimaki , Selukasi, na Tolemi?

Kapitie maandiko ya Wanahistoria wa kirumi walipotembelea mashariki ya kati waliwakuta akina nani pale.

Israeli imekuwapo maelfu ya miaka. Kusema wameletwa na Waingereza ni kukosea. BTW waingereza hawakutaka Wayahudi wakae pale. Soma historia uone walivyokuwa wanawazuia.
 
Izrail ilipata laana walitawanyika hawajulikani nchi yao ni ipi, kila sehem ya Dunia wamekwenda kutumwa ndio wakazaliana huko, walikua wakimbizi Dunia nzima
Hayo ni mambo ya kiimani. Kihistoria wamekuwapo pale mashariki ya kati tangu enzi. Pia ni kweli walitawanyika lakini ndio taifa pekee duniani waliotunza identity yao kwa miaka mingi. Hata lugha yao ya asili bado ilibakia japo walitawanywa.

Kwamba hawajulikani nchi yao ni ipi, sio kweli. Nchi yao inajulikana, watawala wao wanajulikana, miji yao pia inajulikana. Wana akeolojia wamekuta mabaki mengi tu yanayoonesha historia ya hawa watu na kwao ni wapi.

Hizi taarifa ziko wazi. Bahati mbaya hatuna tabia ya kujisomea wenyewe bali tunaamini tunayoambiwa bila kuhoji. Tafuta taarifa mwenyewe. Nina hakika mwisho wa siku utakubaliana nami kuwa taarifa ulizo nazo si sahihi.

Kuna andiko naandika nitatamani nikutumie ulisome likiwa tayari. Kama unapenda niachie email, natarajia mwisho wa mwaka litakuwa tayari, nitakutumia!

Huu ni mfano tu, unaweza kusoma mwenyewe hapa

Tiglath-pileser, king of Assyria and king of Babylon
During the reign of Tiglath-pileser III, the Assyrian army was transformed into a professional army, with specialised soldiers largely replacing the conscripts who provided military service during the summer months, when the agricultural calendar permitted the absence of farm workers. Soldiers from the defeated kingdoms of Arpad, Unqu, Hamat, Damascus and Israel swelled the ranks of the Assyrian army, supplemented by mercenaries from Anatolia, the Zagros Mountains and Babylonia.

Hii ni mwaka 732 KK yaani kama miaka karibu 2500 iliyopita. Israeli ilikuwepo sawa na falme za Babeli, Apadi, Unkwu, Hamati, Dameski, na Anatolia. Yeyote aliyesoma historia anajua Israeli wako kwenye nchi yao na sio utawala haramu hata kidogo.
 
kimsboy uharamu wa Israel ni upi? Ni taifa limekuwapo maelfu ya miaka hapo mashariki ya kati. Naomba kuelimishwa uharamu wake!
Ndio ni dolla haramu...hata African empire zilikuwepo karne mfano mangi,Mkwawa,mirambo etc leo tuna nchi moja ya tz ukisema leo wanyamwez waamke waseme tz yote ni yao utakubali kuondoka ardhi????

Tatzo mmejawa na ujinga juu ya hicho kijidola chenu cha kishoga cha israel
 
Ndio ni dolla haramu...hata African empire zilikuwepo karne mfano mangi,Mkwawa,mirambo etc leo tuna nchi moja ya tz ukisema leo wanyamwez waamke waseme tz yote ni yao utakubali kuondoka ardhi????

Tatzo mmejawa na ujinga juu ya hicho kijidola chenu cha kishoga cha israel
Povu la kupagawa hilo nenda kajilipue na mabomu tel viv au Jerusalem sio kujilipulia humu jf
Saf sana IDF mnaleta nidhamu kwa hao watoto Wa mudiii
 
Hayo ni mambo ya kiimani. Kihistoria wamekuwapo pale mashariki ya kati tangu enzi. Pia ni kweli walitawanyika lakini ndio taifa pekee duniani waliotunza identity yao kwa miaka mingi. Hata lugha yao ya asili bado ilibakia japo walitawanywa.

Kwamba hawajulikani nchi yao ni ipi, sio kweli. Nchi yao inajulikana, watawala wao wanajulikana, miji yao pia inajulikana. Wana akeolojia wamekuta mabaki mengi tu yanayoonesha historia ya hawa watu na kwao ni wapi.

Hizi taarifa ziko wazi. Bahati mbaya hatuna tabia ya kujisomea wenyewe bali tunaamini tunayoambiwa bila kuhoji. Tafuta taarifa mwenyewe. Nina hakika mwisho wa siku utakubaliana nami kuwa taarifa ulizo nazo si sahihi.

Kuna andiko naandika nitatamani nikutumie ulisome likiwa tayari. Kama unapenda niachie email, natarajia mwisho wa mwaka litakuwa tayari, nitakutumia!

Huu ni mfano tu, unaweza kusoma mwenyewe hapa

Tiglath-pileser, king of Assyria and king of Babylon
During the reign of Tiglath-pileser III, the Assyrian army was transformed into a professional army, with specialised soldiers largely replacing the conscripts who provided military service during the summer months, when the agricultural calendar permitted the absence of farm workers. Soldiers from the defeated kingdoms of Arpad, Unqu, Hamat, Damascus and Israel swelled the ranks of the Assyrian army, supplemented by mercenaries from Anatolia, the Zagros Mountains and Babylonia.

Hii ni mwaka 732 KK yaani kama miaka karibu 2500 iliyopita. Israeli ilikuwepo sawa na falme za Babeli, Apadi, Unkwu, Hamati, Dameski, na Anatolia. Yeyote aliyesoma historia anajua Israeli wako kwenye nchi yao na sio utawala haramu hata kidogo.
Hii inaitwa T.K.O
 
Safi sana napenda watu kama wewe wanaojadili kwa hoja siyo matusi matusi

Wana international forum wote wangekuwa kama wewe ingekuwa safi sana


Siyo matusi mala wewe kafili sijui shoga sijui mudy ni mbakaji
Hayo ni mambo ya kiimani. Kihistoria wamekuwapo pale mashariki ya kati tangu enzi. Pia ni kweli walitawanyika lakini ndio taifa pekee duniani waliotunza identity yao kwa miaka mingi. Hata lugha yao ya asili bado ilibakia japo walitawanywa.

Kwamba hawajulikani nchi yao ni ipi, sio kweli. Nchi yao inajulikana, watawala wao wanajulikana, miji yao pia inajulikana. Wana akeolojia wamekuta mabaki mengi tu yanayoonesha historia ya hawa watu na kwao ni wapi.

Hizi taarifa ziko wazi. Bahati mbaya hatuna tabia ya kujisomea wenyewe bali tunaamini tunayoambiwa bila kuhoji. Tafuta taarifa mwenyewe. Nina hakika mwisho wa siku utakubaliana nami kuwa taarifa ulizo nazo si sahihi.

Kuna andiko naandika nitatamani nikutumie ulisome likiwa tayari. Kama unapenda niachie email, natarajia mwisho wa mwaka litakuwa tayari, nitakutumia!

Huu ni mfano tu, unaweza kusoma mwenyewe hapa

Tiglath-pileser, king of Assyria and king of Babylon
During the reign of Tiglath-pileser III, the Assyrian army was transformed into a professional army, with specialised soldiers largely replacing the conscripts who provided military service during the summer months, when the agricultural calendar permitted the absence of farm workers. Soldiers from the defeated kingdoms of Arpad, Unqu, Hamat, Damascus and Israel swelled the ranks of the Assyrian army, supplemented by mercenaries from Anatolia, the Zagros Mountains and Babylonia.

Hii ni mwaka 732 KK yaani kama miaka karibu 2500 iliyopita. Israeli ilikuwepo sawa na falme za Babeli, Apadi, Unkwu, Hamati, Dameski, na Anatolia. Yeyote aliyesoma historia anajua Israeli wako kwenye nchi yao na sio utawala haramu hata kidogo.
 
Ndio ni dolla haramu...hata African empire zilikuwepo karne mfano mangi,Mkwawa,mirambo etc leo tuna nchi moja ya tz ukisema leo wanyamwez waamke waseme tz yote ni yao utakubali kuondoka ardhi????

Tatzo mmejawa na ujinga juu ya hicho kijidola chenu cha kishoga cha israel
Binti Mudy punguza jazba basi.
 
Ndio ni dolla haramu...hata African empire zilikuwepo karne mfano mangi,Mkwawa,mirambo etc leo tuna nchi moja ya tz ukisema leo wanyamwez waamke waseme tz yote ni yao utakubali kuondoka ardhi????

Tatzo mmejawa na ujinga juu ya hicho kijidola chenu cha kishoga cha israel
Aisee! Kweli hili jukwaa siku hizi limegeuka kijiwe tu. Hebu ona sasa umeandika nini hii?
 
Hujui chochote warabu walishajaribu kuleta valangati kwa Israel wakasalimu wewe Wa wapi hujui?
We unaropoka.
PERSIAN AND ARABIAN ARE THEY THE SAME?
DIFFERENTIATE BTN PERSIAN AND ARABIAN.
Mwarabu kashindwa sawa ila persians sio watu wa kawaida.
Na Iran ana urafiki sana na mahabba kwa washia wenzake wa Afghanistan,Pakistan,Lebanon.
Asa nadhan unazifaham itikad kali za hzo nchi.
Na mkumbuke Nasrallah wa Hizbollah alivyoiambia Israel mwaka 2006."We don't want war but we are ready to fight Israel".
Nikumbushe jina la yule kiongozi wa kizayuni alojihuzulu madarakan baada ya kichapo cha Nasrallah.
MUHAJEMI SIO MWARABU MTAUMIA.
ISrael anawaza akimchocha tu Iran Nasrallah anamuamkia sebleni kwake.
 
Hayo ni mambo ya kiimani. Kihistoria wamekuwapo pale mashariki ya kati tangu enzi. Pia ni kweli walitawanyika lakini ndio taifa pekee duniani waliotunza identity yao kwa miaka mingi. Hata lugha yao ya asili bado ilibakia japo walitawanywa.

Kwamba hawajulikani nchi yao ni ipi, sio kweli. Nchi yao inajulikana, watawala wao wanajulikana, miji yao pia inajulikana. Wana akeolojia wamekuta mabaki mengi tu yanayoonesha historia ya hawa watu na kwao ni wapi.

Hizi taarifa ziko wazi. Bahati mbaya hatuna tabia ya kujisomea wenyewe bali tunaamini tunayoambiwa bila kuhoji. Tafuta taarifa mwenyewe. Nina hakika mwisho wa siku utakubaliana nami kuwa taarifa ulizo nazo si sahihi.

Kuna andiko naandika nitatamani nikutumie ulisome likiwa tayari. Kama unapenda niachie email, natarajia mwisho wa mwaka litakuwa tayari, nitakutumia!

Huu ni mfano tu, unaweza kusoma mwenyewe hapa

Tiglath-pileser, king of Assyria and king of Babylon
During the reign of Tiglath-pileser III, the Assyrian army was transformed into a professional army, with specialised soldiers largely replacing the conscripts who provided military service during the summer months, when the agricultural calendar permitted the absence of farm workers. Soldiers from the defeated kingdoms of Arpad, Unqu, Hamat, Damascus and Israel swelled the ranks of the Assyrian army, supplemented by mercenaries from Anatolia, the Zagros Mountains and Babylonia.

Hii ni mwaka 732 KK yaani kama miaka karibu 2500 iliyopita. Israeli ilikuwepo sawa na falme za Babeli, Apadi, Unkwu, Hamati, Dameski, na Anatolia. Yeyote aliyesoma historia anajua Israeli wako kwenye nchi yao na sio utawala haramu hata kidogo.
Huyo kijana wa muddy chuki zimemjaa dhidi ya Israeli. Hata umtumie machapisho 1000 hatakuelewa
 
kimsboy uharamu wa Israel ni upi? Ni taifa limekuwapo maelfu ya miaka hapo mashariki ya kati. Naomba kuelimishwa uharamu wake!
hawana jipya udini tu unawasumbua,mleta habari mwenye kaandika kimahaba as Iran ni babake au yeye ndo huyo muirani kumbe yuko zake Tandare kwa tumbo huko,kashiba mihogo
 
Back
Top Bottom