Did algebra ishawahi kukusaidia kitu maishani mwako? Akili ya mtu mmoja katika nchi haifanyi jamii yake yote iwe na Akili sawa.. even Tanzania kuna mtu aligundua Mpemba effect but haifanyi Kuwa Watanzania ni wanasayansi bora... vitu vinavyowaweka watu juu ni mmoja mmoja haswa wagunduzi wanaopata support Tanzania list ya wagunduzi ni kubwa sema support ya government hatuna.. issue za mabomu silaha n.k vishagunduliwa kitambo kwa sasa vinaboreshwa tu.. issue ya Iran hana aligundua zaidi ya ku smuggling tu silaha from different countries na hilo lipo wazi Iran bought everything including risasi kama hujui... even reverse technology wanasaidiwa na Chinese sema wanaown project nzima.. if unahutaji knowledge just ask tutakuteach tu ubishi na upumbavu utakukondesha tu... Iran ni majigambo tu ndio maana nakuambieni hata Tanzania tunaweza sema tuna hiki na kile tunatengeneza wenyewe but behind ya ukweli ni copy and paste
Bro nimekugundua unaongea kiuhemko sanaaa mpk unasikitisha.
Halafu punguza ujuaji mwingi.
Wahajemi wana vipawa vya akili kutuzidi.
Sawa tuseme kuwa wana copy lakini wanacho copy hukiboresha wao kwa vipawa vyao.
Mfano angalia system ya ulinzi ya Khordak.
Na hyo mpya wanaoiita "Yasin" wanaoiunda sasa inasemekana kufanania na s-400 ya Russia.
Lakin wameiboresha kwa kipawa vya akili zao.
We hujiulizi kwann Israel inatuma majasusi kisiri kuua wanasayansi wa Iran???We wadhan kuwa wana vipawa vdogo wale???
Tanzania akili zetu za kukariri toka tunafundishwa mfumo wetu wa elimu kukaririshana usome ili ufaulu mtihani.Hatuna vipawa kama vya jamaa hawa wahajemi kwahyo acha kuleta mifano mfu.
Sabuni tu zinatushinda kutengeneza twachubuana mikono kwa mipuff mara family detergent tutaweza advancement of technology wanaoifanya Wahajemi???
Au ww unachukulia kitu simple kuki advance kitu???
Israel alinunua F-35 fighter jets 1st and 2nd generation na kuzi advance 4th generation kama sikosei.
We wadhani advancement aloifanya Israel ni ndogo???
Asa hvyo ndivyo Iran anavyofanya.
Punguza ujuaji mwingi.