Hali imekuwa tete kule Iramba. Habari tulizo zipokea hivi punde zinasema kuwa, Iramba hawataki tena UKAWA wao ni CCM tu wakiongonzwa na katibu mwenezi. Hii ni ishara tosha kuwa CCM inaendelea kung'ara kila kona hapa Tanzania.
Picha hizo juu ni Iramba Magharibi. Magufuli tisha mbaya. UKAWA wamesha agwa na wakazi wa Iramba.
Kadi mtauziwa na KURA hamtapewa. watu wameshtuka siku hizi, mkija na hela zenu mnataka kununua kadi za UKAWA tunawapa tunachukuwa mahela yenu kesho tunachukuwa kadi nyingine na tarehe 25 tunawachinja kuanzia 'nyuma'
Khee ukipita maeneo ya singida kuna vibao vinahamasisha watu kujenga vyoo.
Sasa watu ambo hata vyoo ni tabu watawezaje kutunza kadi ziwe mpya ki viile kama zinavyoonekana