Filimbi ni 2 cyo nne coz ipo mojajibu kumi na tisa (19). icho kiatu ni 10, iyo picha ni 5, filimbi ni 4.
17Wote mnakaribishwa.
Kwa wale tuliopotia magazijuto jibu hapo ni 20.Wote mnakaribishwa.
17 ila IQ test ya kiboyaWote mnakaribishwa.
Umekosa mkuu
Hivi Mnashindwa wapi? Kweli HGL ni nyingi.
Filimbi ni 2
kichwa + filimbi ni 5
Kichwa pekee ni 3
Viatu ni 10
Now 10 + 3 x 2 ni
10 + 6 = 16
9Wote mnakaribishwa.
Ahsante!Hili swali siyo hesabu, ni jaribio la macho, ukiangalia kwa makini utaona vichwa vitatu wamevaa filimbi moja moja kisha kujumlisha filimbi zipo mbili ila mwishoni kwenye kuzidisha filimbi ipo moja, sasa nyie mnaojua namba tafuteni thamani ya filimbi moja kwanza...changamkeni mlete jibu