MKWEPA KODI JF-Expert Member Nov 28, 2015 28,707 71,003 Jun 11, 2017 #2 Wanyimeni leseni hapo ndiyo tutajua nyie ni wazalendo
M Martin George JF-Expert Member Jun 4, 2017 1,695 1,470 Jun 11, 2017 #3 Salary Slip said: Click to expand... Huyu Naye ni wa kutumbua tu!
muhomakilo jr JF-Expert Member Jul 28, 2013 13,447 10,008 Jun 11, 2017 #4 Kosa la huyu jamaa nini hadi kusimamishwa kazi?, maana hapo sijaona kosa lake?..
S Salary Slip JF-Expert Member Apr 3, 2012 47,022 144,379 Jun 11, 2017 Thread starter #6 Martin George said: Huyu Naye ni wa kutumbua tu! Click to expand... Kosa lake ni nini?
M Msengapavi JF-Expert Member Oct 23, 2008 8,754 7,536 Jun 11, 2017 #7 muhomakilo jr said: Kosa la huyu jamaa nini hadi kusimamishwa kazi?, maana hapo sijaona kosa lake?.. Click to expand... Lazima kuna kitu amefanya au kimefanywa cha kuifanya serikali imtumbue. Hata hivyo iko siku ukweli utatoka kwenye maficho yake!
muhomakilo jr said: Kosa la huyu jamaa nini hadi kusimamishwa kazi?, maana hapo sijaona kosa lake?.. Click to expand... Lazima kuna kitu amefanya au kimefanywa cha kuifanya serikali imtumbue. Hata hivyo iko siku ukweli utatoka kwenye maficho yake!
muhomakilo jr JF-Expert Member Jul 28, 2013 13,447 10,008 Jun 11, 2017 #8 Msengapavi said: Lazima kuna kitu amefanya au kimefanywa cha kuifanya serikali imtumbue. Hata hivyo iko siku ukweli utatoka kwenye maficho yake! Click to expand... Kuna sehemu nimesoma, wanasema kapandisha bei ya mafuta kwa shinikizo la wafanyabiashara...nadhani hili zimwi la IPTL linahusika.....tusubili.
Msengapavi said: Lazima kuna kitu amefanya au kimefanywa cha kuifanya serikali imtumbue. Hata hivyo iko siku ukweli utatoka kwenye maficho yake! Click to expand... Kuna sehemu nimesoma, wanasema kapandisha bei ya mafuta kwa shinikizo la wafanyabiashara...nadhani hili zimwi la IPTL linahusika.....tusubili.
Titans JF-Expert Member Dec 31, 2010 1,459 3,366 Jun 11, 2017 #9 Kwa hiyo aliyetumbuliwa ataendelea kula mshahara tu.