comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,472
- 11,565
Sikuhizi Radio za bongo zimekuwa kama vijiwe vya kahawa, NI kubishana tuu kuhusu Simba na yanga, na huu ndio mtaji mkubwa WA CCM!
Nchi imeja shida sana hii
Nchi imeja shida sana hii