MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,016
- 16,811
Aliyelalamika ni GENTAMYCINE na siyo GENTAMYCIME huyu Feki aliyeanzisha huu Uzi. Rekebisha upesi hapo.Sio yeye mkuu.. angalia kule jukwaa la complains bwana GENTAMYCIME alilalamika kuhusu huyu jamaa ambae anajitunisha as if ni yeye
Precisely.Ila hii ni GENTAMYCIME na wala sio GENTAMYCINE.
Kapimwe Mkojo kwani huna Akili sawa?
Natabiri atatoka Kifungoni muda si mrefu. Tunza hii post yangu kwani nina PhD ya Kutabiri na kuwa na uhakika wa Jambo / Kitu.Popoma Mkuu Mwandamizi kala Ban aliwahi mfugulia uzi huyu Vice_PopomaView attachment 2369997View attachment 2369998
Fake kivipiAliyelalamika ni GENTAMYCINE na siyo GENTAMYCIME huyu Feki aliyeanzisha huu Uzi. Rekebisha upesi h
Mada nzuri sana. Ni kweli kabisa ipo siku tutaamka tu. Ni suala tu la muda.Naamini wahenga hawakukosea na msemo wao tukuka kabisa "Ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka", hapo Dodoma naona mnaendelea vizuri na kazi ya 'kuwatwika' zigo la tozo 'Wanachi wazalendo', nadhani sasa hivi inayofuatia ni tozo ya 'kubiolojiana', naamini huko pia mtapata mapato makubwa mno kwani kwa ninavyowajua 'Wazalendo' watalipa tu hata hiyo ili waendelee kufaidi starehe muhimu kuliko zote. Ila ipo muda si mrefu wataamka tu, hata 'mjinga' au 'popoma' hua anakua ana akili 'sometimes'.
GENTAMYCINE ni Dawa je, GENTAMYCIME ni nini? Acha Upumbavu unachokifanya ni kutaka kwa Makusudi Kujifananisha na GENTAMYCINE ambaye hapa JamiiForums ameshakuwa Brand tokea mwaka 2013 alipojiunga.Fake kivipi
GENTAMYCINE ni Dawa je, GENTAMYCIME ni nini? Acha Upumbavu unachokifanya ni kutaka kwa Makusudi Kujifananisha na GENTAMYCINE ambaye hapa JamiiForums ameshakuwa Brand tokea mwaka 2013 alipojiunga.
Unachokifanya ni kutaka Kufifisha Umaarufu wake mkubwa na Uwasilishaji wake wa Kipekee wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums na Kusafiria Nyota yake na kuwa Kwake na 'Natural Charm' ukidhani utawahadaa Wanaomkubali na waanze Kukuamini Wewe.
JamiiForums nzima ina GENTAMYCINE Mmoja tu ambaye ni 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kama vile ambavyo JamiiForums nzima kuna MINOCYCLINE Mmoja tu ambaye ni 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' sawa?
Huna Akili.
Kuna tofauti kubwa kati ya GENTAMYCINE na GENTAMYCIME nasikitika Mtu makini kama Wewe hili hujalitambua.Mada nzuri sana. Ni kweli kabisa ipo siku tutaamka tu. Ni suala tu la muda.
Ila samahani mtoa mada! Mbona kama nakufananisha hivi na swahiba wangu wa siku nyingi Mr. Popoma!!! Ni wewe mwenyewe, au mna undugu? πππ
Nimekupata vizuri kabisa Mr. Genius.Kuna tofauti kubwa kati ya GENTAMYCINE na GENTAMYCIME nasikitika Mtu makini kama Wewe hili hujalitambua.
Mwambieni na Mimi natamani aiige hii ID yangu ya MINOCYCLINE na Yeye ajiite MINOCYCLIME ili aweze Kusafiria pia na hii Nyota yangu.
Acha ushamba na ulimbukeni, ndio sina akili UMEFURAHI??GENTAMYCINE ni Dawa je, GENTAMYCIME ni nini? Acha Upumbavu unachokifanya ni kutaka kwa Makusudi Kujifananisha na GENTAMYCINE ambaye hapa JamiiForums ameshakuwa Brand tokea mwaka 2013 alipojiunga.
Unachokifanya ni kutaka Kufifisha Umaarufu wake mkubwa na Uwasilishaji wake wa Kipekee wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums na Kusafiria Nyota yake na kuwa Kwake na 'Natural Charm' ukidhani utawahadaa Wanaomkubali na waanze Kukuamini Wewe.
JamiiForums nzima ina GENTAMYCINE Mmoja tu ambaye ni 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kama vile ambavyo JamiiForums nzima kuna MINOCYCLINE Mmoja tu ambaye ni 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' sawa?
Huna Akili.
Tafuta mme uolewe, umri unakutupa mkonoKuna tofauti kubwa kati ya GENTAMYCINE na GENTAMYCIME nasikitika Mtu makini kama Wewe hili hujalitambua.
Mwambieni na Mimi natamani aiige hii ID yangu ya MINOCYCLINE na Yeye ajiite MINOCYCLIME ili aweze Kusafiria pia na hii Nyota yangu.
Teh teh teh πππ pacha haoPopoma Mkuu Mwandamizi kala Ban aliwahi mfugulia uzi huyu Vice_PopomaView attachment 2369997View attachment 2369998
Na ukaamini hayo maigizo?Sio yeye mkuu.. angalia kule jukwaa la complains bwana GENTAMYCIME alilalamika kuhusu huyu jamaa ambae anajitunisha as if ni yeye
careful now...Kwamba watanzania hawa ninaowajua mimi waje waamke.
Mniite mbwa nipo humu humu.
Anataka kujipatia mademu kupitia jina lako nini mkuu?ππGENTAMYCINE ni Dawa je, GENTAMYCIME ni nini? Acha Upumbavu unachokifanya ni kutaka kwa Makusudi Kujifananisha na GENTAMYCINE ambaye hapa JamiiForums ameshakuwa Brand tokea mwaka 2013 alipojiunga.
Unachokifanya ni kutaka Kufifisha Umaarufu wake mkubwa na Uwasilishaji wake wa Kipekee wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums na Kusafiria Nyota yake na kuwa Kwake na 'Natural Charm' ukidhani utawahadaa Wanaomkubali na waanze Kukuamini Wewe.
JamiiForums nzima ina GENTAMYCINE Mmoja tu ambaye ni 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kama vile ambavyo JamiiForums nzima kuna MINOCYCLINE Mmoja tu ambaye ni 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' sawa?
Huna Akili.
Ipo siku, unajua hata mjinga ukizidi kumuonea kuna wakati fahamu zitamrudia na atachukua hatuacareful now...
kuna watu wameshawahii kutembea uchi mtaani kwa kauli kama hizi!
natoa angalizo tu mkuu π
ila kwa kuwa lako ni la kuitwa mbwa, basi ngoja tuone!
Jina lake lipi?, achana nae huyo hana analojuaAnataka kujipatia mademu kupitia jina lako nini mkuu?ππ
Imbecile.Acha ushamba na ulimbukeni, ndio sina akili UMEFURAHI??
Damn Fool.Tafuta mme uolewe, umri unakutupa mkono