Mbwilimbwili
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 183
- 282
Ipo siku tu mkuu, inachoshaHahaha.......popoma huwa anaamka!
Ipo siku mkuuLabda
Sio yeye mkuu.. angalia kule jukwaa la complains bwana GENTAMYCIME alilalamika kuhusu huyu jamaa ambae anajitunisha as if ni yeyeSasa hivi MINOCYCLINE atapumzika maana hii imetoka kifungoni.
Popoma Mkuu Mwandamizi kala Ban aliwahi mfugulia uzi huyu Vice_PopomaHahaha.......popoma huwa anaamka!
Sio yeye mkuu.. angalia kule jukwaa la complains bwana GENTAMYCIME alilalamika kuhusu huyu jamaa ambae anajitunisha as if ni yeye
Wewe pia ni GENTAMYCIME maana anazo akaunti nyingi sana. Yule MINOCYCLINE huwa anakuja wakati genta amekula banSio yeye mkuu.. angalia kule jukwaa la complains bwana GENTAMYCIME alilalamika kuhusu huyu jamaa ambae anajitunisha as if ni yeye
π€£π€£π€£π€£ mkuu mimi nina account moja tu. Why wpuld i try to ride under someone's wing.?Wewe pia ni GENTAMYCIME maana anazo akaunti nyingi sana. Yule MINOCYCLINE huwa anakuja wakati genta amekula ban
Mkuu ipo siku nakwambia, ipo sikuHuwajui watanzania wewe.
Siku watanzania wakiamka, niite mbwa nipo humu humu.
π π π mimi sina IQ ya kuwa Charismatic fella kama GENTAMYCINE au well informed person kama MINOCYCLINE unanikosea sana mkuu kuniweka kundi moja na hao mkuu.
Kwa ulivokomalia bas wacha tuseme wewe na GENTAMYCIME ni mtu mmoja mkuu.
Popoma ni uhakika MINOCYCLINE hilo halina ubishi angalia nyuzi na muandiko labda huyu New Genta naweza kusema site.π€£π€£π€£π€£ mkuu mimi nina account moja tu. Why wpuld i try to ride under someone's wing.?
Yawezekana mtu anafahamika kwa mambo mbalimbali humu ndani either mazuri au mabaya but hio ndo hulka yake, sioni kama ni sawa if mtu mwingine akitumia hyo kama gia ya kujikweza.
Kuna vitu viko wazi, mwandiko wa popoma na huyo minocyline unafanana kabisa lak huyu mwingine ni "wanna be".