Bawabu wa pili
Senior Member
- Nov 14, 2025
- 147
- 432
Wakuu, naomba tupeane experience, Ipi sababu iliyokufanya uolewe/uoe?
1. Je ni kwasababu ulichoka kuishi maisha ya upweke?
2. Je ni kwasababu ulishindwa kuzuia hisia?
3. Je ni kwasababu ulipata mtu mwenye pesa?
4. Je nikwasababu ulizalishwa/Ulizalisha?
5. Je ni kwasababu ulimpa mtu ujauzito/ ulibeba ujauzito?
6. Baada ya umri kwenda sana?
7. Maneno ya wazazi, ndugu, rafiki na majirani?
8. Kwasababu ya ugumu wa maisha/umaskini?
9. Je ni kwasababu ulipata mke/mume sahihi?
AU NI NONE OF THE ABOVE?
1. Je ni kwasababu ulichoka kuishi maisha ya upweke?
2. Je ni kwasababu ulishindwa kuzuia hisia?
3. Je ni kwasababu ulipata mtu mwenye pesa?
4. Je nikwasababu ulizalishwa/Ulizalisha?
5. Je ni kwasababu ulimpa mtu ujauzito/ ulibeba ujauzito?
6. Baada ya umri kwenda sana?
7. Maneno ya wazazi, ndugu, rafiki na majirani?
8. Kwasababu ya ugumu wa maisha/umaskini?
9. Je ni kwasababu ulipata mke/mume sahihi?
AU NI NONE OF THE ABOVE?