ipi njia sahihi ya mafanikio

ipi njia sahihi ya mafanikio

kwa mafanikio ya kiroho mpokee bwana awe mwokozi wa maisha yako. cc Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Fanya Biashara sa inategemea Biashara gan maana hata kuuza nyanya nako ni biashara
 
Jiulize huko kwenu kuna shida gani kubwa?
mfano kama shida ni maji,tafuta wapi ukajifunze uchimbaji visima na vifaa vyake
uanze biashara ya kuchimbia watu visima
 
biashara gani mkuu me nipo tabora
Upo tabora sehemu gani
Pale tabora kuna asali nyingi sana kama unamtaji nunua asali kule wilayani urambo,uyui , halafu peleka dar ,kwenye mabasi kama NBS,SABENA&AIRBUS ,AU NI PM KAMA UNA ASALI
 
maisha yamekuwa magumu ipi njia sahihi ya mafanikio.

Uwe mkweli na mpenda haki; jipange ingia katika buy & sell (biashara) anza na kidogo.. itakbarikiwa na kukuwa zaidi(growth) kila wakati angalizia chances/fursa/opportunities..! timkaa unyakuwe
 
kama mikoani watu wanahitaji sana asali xo funguka changamsha kichwa mana unapoambiwa njia hi kuna cmba ni jukum lako kujua upite wap ili umkwepe . umeelewa
 
kama mikoani watu wanahitaji sana asali xo funguka changamsha kichwa mana unapoambiwa njia hi kuna cmba ni jukum lako kujua upite wap ili umkwepe . umeelewa

kabisa mkuu ila simba wa leo hata ukipanda mtini watakufuata hukohuko,.
 
maisha yamekuwa magumu ipi njia sahihi ya mafanikio.


Fanya biashara ya kuuza maji. Kama huna mtaji kabisa. Kama una vijisenti kadhaa anza kufanya biashara ya kuuza mahindi. Unayafata vijijini unayaleta mboka mjini.
 
Back
Top Bottom