Ipi ni web browser nzujri kwa computer?

Mimi kwangu the best ni Google chrome ikifuatiwa na Mozilla firefox
 
Mimi binafsi naielewa zaidi opera
 
Reactions: Tlg
Mkuu chrome ina speed nzuri ili mradi intanet yako haisumbui, tatizo la google wanapenda kutrack karibia kila kitu unachofanya.

Mozilla iko vizuri especially kwa security na privacy, lakini speed inasubiri kwa chrome japo ni nzuri pia.

UC browser naipendea uwezo wake wa kupause kudownload, kama bundle limeisha unaweza kupause, na kuendelea hata kesho yake. Nadhani pia UC browser wanacompress web pages kama Opera ili kutumia mbs chache.
 
Uc browser kwani katika kudownload ipo vizuri na hata torrent file na pia hua ina boost speed.
 
Flash peak Slim jet ni kiboko. Unaweza ukascreen short, ukahifadhi km pdf, ina ads blocker halafu ipo fast sana. Mm ndiyo natumia hii
 
Opera is the best in my opinion although kwa PC its not that famous kama chrome n Mozilla but it is better than the two
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…