Mkuu chrome ina speed nzuri ili mradi intanet yako haisumbui, tatizo la google wanapenda kutrack karibia kila kitu unachofanya.
Mozilla iko vizuri especially kwa security na privacy, lakini speed inasubiri kwa chrome japo ni nzuri pia.
UC browser naipendea uwezo wake wa kupause kudownload, kama bundle limeisha unaweza kupause, na kuendelea hata kesho yake. Nadhani pia UC browser wanacompress web pages kama Opera ili kutumia mbs chache.