Ipi ni sahihi katika mahusiano?

Ipi ni sahihi katika mahusiano?

Kiongozi sijisifu ila ukweli ni kwamba nikimtamkia m2 kuwa nimekupenda nakuwa namaanisha. Sasa inapotokea aka-miss behave tena kwa kauli - huwa naudhika sana. Ulimi uumba.
Tutor B........kwani kujipa jakamoyo kaka? ulitakiwa umwulize siku ile ile ana maanisha nini kusema yeye ndo atatangulia kukuacha?? Pengine maelezo ambayo yangefuata yangekupi picha halisi.inawezekana angekujibu kuwa .......nikiona mapenzi yako kwangu yanapungua; huonyeshi kuwa na hamu na mie tena...nitajua moja kwa moja hapa karibu ninaachwa so naanza mie kukuacha..........

Hebu rudisha moyo nyuma wakati mwingine huwa tunaongea tu kila mtu kwa staili yake, mwingine husema ukiniacha ntakunywa sumu lakini je ni kweli wanakunywa sumu? mwingine ukinacha yaani sitakubali, wengine ukiniacha nakuroga au nenda Pemba kukununulia jini..ilimradi tu limetoka.........yapuuze bana wewe angalia sifa nyingine kama anakwalifai au la.......ingekuwa hivyo mbona maisha yangekuwa serious sana bana?!! Take it easy bana ah.............

Naniliu na mimi ukiniacha nakuroga................!!
 
No huyo alitamka tu kutokana na hisiaa kali alizo nazo juu yako kwa kuhofia ukimuacha ataumiaa kiasi gani samehe na endeleaa kulilinda penzi lenu
 
Back
Top Bottom