am a girl
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 748
- 504
Nadhani kila mmoja anatamani kuja kua na mume/mke au mpenzi bora kulingana na vigezo vyake.
Na ili lifanikiwe tunamuhusisha Mungu, sasa kuna siku tulikua tunapiga story na marafiki zangu kuhusu hio topic.
Mmoja akasema ukizidisha sana vigezo katika kuomba kwako unaweza usipate,pengine hakuna mwenye vigezo hivyo vyote au yupo ila ana ubavu mwingine.
Ikabidi me na mwenzangu na mmoja tushtuke kidogo kwanini??? Wakati Mungu husikiliza na kutimiza hitaji la kila kiumbe wake???.
Mwingine akasema katika maombi yako hakikisha unataja vigezo vyako vyote mf unaweza omba upate mwenye pesa,yani wewe kila ukiomba unataka mwenye pesa vigezo vingine huweki,mwisho wa siku unaeza pewa mwenye pesa but ni jambazi au mwenye pesa ila asiyejali au mwenye pesa ila mkorofi(anaepiga ovyo).
Pia kwa ME unaeza omba upate KE mwenye chura bila kuweka vigezo vingine af ukapata mwenye chura ila tabia hovyo, au unaweza omba umpate asieomba pesa af unapata haombi pesa ila anatumia njia flani (kujiuza niseme) kuzipata.
Sasa jamani nauliza wenzangu katika kuomba kwenu hua mnaombaje kupata mtu sahihi??? Nyie mlio katika mahusiano mazuri mmemshirikishaje Mungu wetu huyu.
Vigezo vipi ni muhimu sana katika kuomba (najua kila mtu ana vigezo vyake).
Ila najua ni wengi tu tupo tunaomba bila ya kujua tunataka nini, bila kuweka vipaumbele katika vigezo muhimu.
Nawasilisha.
Na ili lifanikiwe tunamuhusisha Mungu, sasa kuna siku tulikua tunapiga story na marafiki zangu kuhusu hio topic.
Mmoja akasema ukizidisha sana vigezo katika kuomba kwako unaweza usipate,pengine hakuna mwenye vigezo hivyo vyote au yupo ila ana ubavu mwingine.
Ikabidi me na mwenzangu na mmoja tushtuke kidogo kwanini??? Wakati Mungu husikiliza na kutimiza hitaji la kila kiumbe wake???.
Mwingine akasema katika maombi yako hakikisha unataja vigezo vyako vyote mf unaweza omba upate mwenye pesa,yani wewe kila ukiomba unataka mwenye pesa vigezo vingine huweki,mwisho wa siku unaeza pewa mwenye pesa but ni jambazi au mwenye pesa ila asiyejali au mwenye pesa ila mkorofi(anaepiga ovyo).
Pia kwa ME unaeza omba upate KE mwenye chura bila kuweka vigezo vingine af ukapata mwenye chura ila tabia hovyo, au unaweza omba umpate asieomba pesa af unapata haombi pesa ila anatumia njia flani (kujiuza niseme) kuzipata.
Sasa jamani nauliza wenzangu katika kuomba kwenu hua mnaombaje kupata mtu sahihi??? Nyie mlio katika mahusiano mazuri mmemshirikishaje Mungu wetu huyu.
Vigezo vipi ni muhimu sana katika kuomba (najua kila mtu ana vigezo vyake).
Ila najua ni wengi tu tupo tunaomba bila ya kujua tunataka nini, bila kuweka vipaumbele katika vigezo muhimu.
Nawasilisha.