Tungo namba moja ndiyo iliyosahii yaani ndiyo kinyume cha hiyo tungo kuu.
Mahali hapa pana hela=kianachotakiwa kukanushwa hapa ni kitenzi pana.
Hivyo basi:- Mahali hapa pana pesa. Kanushi yake ni
Mahali hapa hapana pesa
2.Si mahali hapa pana pesa= katika tungo hii kinachosisitizwa ni neno MAHALI
Tungo hii ni kanushi ya:- Ni mahali hapa pana hela Kwahiyo kimaana tungo zote mbili zinafanana ila kimuundo wa sarufi na upatanisho wake zinatofautiana.
Kutokana na upananisho wa kisarufikinyume cha "Mahali hapa pana hela" ni= Mahali hapa hapana hela
"Si mahali hapa pana hela"="Ni mahali hapa pana hela"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.