Ipi kozi nzuri kati ya mechanical engineering na electronic & telecominication engineer?

Ipi kozi nzuri kati ya mechanical engineering na electronic & telecominication engineer?

nyambe boy

Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
36
Reaction score
11
Kaka zangu naombeni msaada ipo kozi nzuri ya kusoma na yenye field nyingi kati ya mechanical na telecomonication.
 
Soma hyo telecommunication.ukafunge minara ya simu n.k.
 
kaka zangu naombeni msaada ipo kozi nzuri ya kusoma na yenye field nying kati ya mechanical na telecomonication.


Mechanical engineer siyo kozi huyo ni mtu, kozi inaitwa mechanical engineer-ing
 
Soma mechanical ukawe fundi gereji. Siku hizi sioni viwanda vikiajiri mechanical engineers.
 
duh, kwahyo akutakuwepo na utofauti wowote na watu wa veta au mafundi wa kawaida wa magari(gereji)

Telco is where the world is moving,there is a lot of diversification in telcos as compared to the other course
 
Nisikilize Mimi kakako na ukifata ushauri wangu utakuja nishukuru siku moja.
Kuna koz za computer eng, telec eng, electronic eng, compt science na nyingine km hizo, hizi zilikuwaga zaman...

Saiv km unamtu unajua ukimaliza atakubeba bas kasome ila kumbuka imeandikwa alaaniwe amtegemeaye mwanadam(Mwenzio alikuwa anajitapa kuwa babake kamtuma asome koz flan ili amwingize kazin, mwaka wa mwisho anamaliza na Mzee akavuta).

Mechanical Mdogo wangu ipo vizur, asikwambie mtu eti follow ur dream, siku hiz hakuna dream zimebaki drama, we fata upepo utaja jilumu....ova
 
Back
Top Bottom