Unajua nilivyoiona hiyo rangi nikajua ni post ya Preta, maana nimezoea kuona unapost kwa rangi hiyo kwahiyo sikuhangaika hata kusoma jina. Sasa hapo kwenye nini tena, nikajua unajiuliza swali! Haya tukiacha hayo ni kweli wanawake wanapata punguzo kwenye insurance premium.