dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Wadau nina kamkoko kangu nataka nikakatie comprehensive insurance, sasa ningeomba kwa anayejua ni insurance company gani si wasumbufu wa kulipa wakati wa misukosuko anielekeze, hizi ajali za kila siku zinatia simanzi pale ambapo umekatia ki-third party.....nashukuru kwa msaada wenu
NB.....na pia wenye bei nzuri
NB.....na pia wenye bei nzuri