Inategemea na preferences zako mkuu, hapo kuna gari zile ngumu zaidi na baadhi ni mayai. Raum old model ni ngumu na imara isipokuwa raum new model ni mayai na delicate saana inafaa kwa bata la town.
Ila ningekushauri uchukue zote maana najua huwa hupendagi ujinga.
Wewe umewai kutengeneza yako?.Acha dharau na vitu vya watu.Passo haivuki miaka 3 umepaki juu ya mawe. Gari usiyoweza kusafiri nayo dar 2 moro nayo utaiita gari?
Mjomba Carina Ti hata nikijaliwa kupata hela ya kununulia gari nyingine hii yangu siiuzi.Carina ti samli aseee!naikubali sana
Baada ya kuumiza kichwa mda mrefu nahitaji kuchukua mojawapo kati ya hayo. Ipi ni gari bora zaidi hapo overall?
Chukua gx100 ndo mwisho wa matatizoPasso haivuki miaka 3 umepaki juu ya mawe. Gari usiyoweza kusafiri nayo dar 2 moro nayo utaiita gari?
Mkuu hebu nisaidie GX 100 haiwez kunipa mawazo kwenye wesse?Chukua gx100 ndo mwisho wa matatizo
Akifata huu ushauri baada ya miaezi miwili atakuja kuiuza kwa 2.5 m angalau apate kifuta machoziChukua gx100 ndo mwisho wa matatizo
Duuh 2.5m?? tuseme GX 100 ni ndoa zile za parokiani?Akifata huu ushauri baada ya miaezi miwili atakuja kuiuza kwa 2.5 m angalau apate kifuta machozi