Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,519
- 5,423
Kama kwa bei zipi. Nahisi unaweza kuta zipo juu hata kwa zaidi ya 100k au 150k ukilinganisha na bei za huko dar. Nipe chimbbo na bei zao zikoje nikazame mwisho wa mwezi huu. Au niagize kitoka darHicence, Boss, Lg mwanza zinapatikana kikubwa mfuko wako tu mkuu.
Bila shaka hutumii Hdmi cable wewe unatumia AV
aina gani?
Hapo umechezea rimonti tu, sema tv gan maana setting kwenye rimonti huwa zinapishana.
duh umejuaje [emoji45]
Tupeane majina ya brands, specification zake na bei zake. Na machimbo wapi zinapatikana ili tuweke na sisi ndani.
Napendelea
Sony 32"
Lg 32"
Tcl 32"
Hicence 32"
Boss 32"
Wenye kujua bei zake zikiwa mpya na pia naomba kujuzwa na bei zake kwa smart tv pia.
Maana huko instagram wauzaji wengine naona wamejaa utapeli. Licha ya kwamba navutiwa na huyu jamaa anaitwa LAMPARD ELECTONICS.
Naishi MWANZA vipi huku mwanza maduka ya electronics kama hizo sijui yapo na bei zimekaaje maana kitu kije kitoke dar kifike mwanza unaweza uziwa kwa bei iliongezeka zaid
King'amuzi gani unatumia?
dstv ila hakina hiyo hdmi port
LG,SAMSUNG,SONY BRAVIA, HISENSE na TCL , nje ya hapo mkuu mimi sinunui yaani bora hata ninunue 24 inches ya brands hizo kuliko hayo majina inch 50
Sauti ya Home Theatre ina ladha yake mkuu, yaani ukiunga hiyo Sony Bravia na 5.1 au 7.1 soround system hutachoka kuangalia either movie au kutazama music, hasa kama ngoma ni smart na unaingia huko Netflix, YouTube nk mzeeKitu Sony Bravia nakikubali sana. Rangi nzuri na Speaker nzuri wala hauhitaji kuunganisha na Sabufa.
Kama kwa bei zipi. Nahisi unaweza kuta zipo juu hata kwa zaidi ya 100k au 150k ukilinganisha na bei za huko dar. Nipe chimbbo na bei zao zikoje nikazame mwisho wa mwezi huu. Au niagize kitoka dar
Mkuu kuna wachina wastaarabu kama TCL, Hisense, Xiaomi etc ukinunua Tv zaoHabarini, naomba kujuzwa katika hizi flat screen za wananchi wa kipato cha kawaida, ni ipi bora kuliko zingine?
-Star-X tv
-Aborder tv
-Sundar tv
Hapa siongelei zile za kibosile kama Sony, LG na Samsung.
Kama ni Plasma tv hio ni kama Pasi, zinakula umeme balaa.H
Hivi Sumsung zote zinakula umeme sana au ni hii ya kwangu tu?
Vp mkuu kwa hizo ulizotaja ni bei gani kwa inch24 na 32??Mkuu kuna wachina wastaarabu kama TCL, Hisense, Xiaomi etc ukinunua Tv zao
1. Operating system inakuwa Android tv ambayo ipo optimized na TV.
2. Bei zao za kawaida Around 400k unapata smart ya 32 inches.
3. Specs nyengine pia zinakuwa decent kama kutumia vioo vya Ips, speaker nzuri etc.
Kuna kitu kinaitwa Aspect ratio ambazo ni maarufu niSorry nje ya mada. Tv yangu nikiangalia kupitia king'amuzi picha haiwi screen nzima inakuwa imejikata, space inabaki juu na chini lakini nikisema niangalie labda series au movie kutoka kwenye flash inaonekana vizuri screen nzima. Kwa mwenye kujua tatizo litakuwa nini.
Kuna duka mbeya Samsung 32" inaenda kwa 450,000/=Una budget gani na unataka sifa gani? Man jipinde 500k uchukue LG au Samsung HD 32" mkataba izo.
Ulizotaja hapo dah.
Inch 32 ni Around laki 4 mkuu.Vp mkuu kwa hizo ulizotaja ni bei gani kwa inch24 na 32??
Mkuu mm naishi mwanza. Iyo biashara ya kupitia tunduma imekaaje. Nieleze kidogo nipate ufahamu, maana sipo vizuri kwenye huu uwanda wa kuagiza vitu kwa cost benefit analysisAgiza kutokea tunduma utapata kwa bei rahisi izo Brand kubwa mfano inch 43 Samsung utapata kwa 450K.