Soma engineering yeyote ila si telecom wala computer.
Ushauri wako ni sahihi lakini in real world ni worst of all angalia series of Industrial revolutions
1. Steam Engine
2. Electricity
3. Computer and Electronics
4. Artificial Intelligence and Robotics(Tumeshaianza na ndio inaendelea)
Watu wengi hawasiojua Kozi za IT ndio huwa wa kwanza Kuwambia watu wasizisome. Naweza nikakushauri usisome Computer kama Huimechelewa Kuifahamu, But mtu anayeipenda Computer na ndio Ndoto yake ni Mtu anayeweza Kufanya kazi hata za Engineering zingine, Now Mtu wa Mechanical alieambiwa akasome mech na sio Computer eti Kwa sababu aliyemshauri Haoni Ajira Hawezi Kujua Vitu vingi kama Mtu wa Computer Aliyeamua kuunda Robot(Robotics), Huyu lazima atajifunza Mechanics, Lazima atijifunza very Hard fields za Computer Science(Artificial intelligence, Machine Learning), Lazima Atajifunza Maeneo mengi la Umeme na lazima ajue Electronics.
Pia Computer Ni footloose say, mtu anayemaliza Civil Engineering trust me Chuo hufundishwa wapi ataajiriwa, But Computer anafundishwa only TRUE and FALSE, Kwa hiyo anapomaliza Chuo anakuwa na Wigo Mpana wa Kuanzisha Startup kwa Lowest capital possible, mfano Kilimo ni chanzo cha ajira kwa watanzania wengi Kijana wa Computer anamaliza Chuo anaweza Kutengeneza IoT Green House, Now Think kwa Laki 5 anakitu zha kumfanya Kuwa Bussy na Muda wa Kufikiri Teknolojia mpya
JAMII INABIDI ifikirie Upya JUU ya Masomo Ya Computer.