Kasome hiyo ya accountancy achana na uchumi...Wanajamvi naomben kujua kati ya bachelor of science in economics and finance VS bachelor of public sector Accounting and finance ipi nzr na ina upana wa ajira na kujiajiri?
"COARSE" Inabidi ushauri wangu uanze na uandishi wa hili neno. Mkuu una mgogoro na malkia???Wanajamvi naomben kujua kati ya bachelor of science in economics and finance VS bachelor of public sector Accounting and finance ipi nzr na ina upana wa ajira na kujiajiri?
Mi sina CPA na nimepata boss tena serikalini shirika kubwa tu japo nime hussle muhimu afanye anachopenda nakumbuka pia hata mimi nilikatishwa sana tamaa mtoto wa kimaskini unasoma uhasibu utaishia mtaani kumbe sivyo muhimu tu uwe smart na unachokisoma.Economics and finance iko bomba na ina uwanja mpana wahasibu ni wengi cku izi kazi kupata ni hadi uwe na cpa
Kwa kozi za biashara hamna kozi inayoizidi accountancy hapa tz.Economics and finance iko bomba na ina uwanja mpana wahasibu ni wengi cku izi kazi kupata ni hadi uwe na cpa