Bei around 1.3M hadi 1.8M model gani inadumu na haisumbui. Mwenye kujua atupie experience
Asante. Nataka kitu ya uhakika ambayo haitasumbua, spare zipo, chaji inakaa na betri haifi haraka. Iweze kubeba kilo walau 160 na kutembea 80km kwa single charge. Sidhani kama hii utaipata kwa laki 6.umeuliza kweli ukaambiwa bei ni hiyo maana nakumbuka kuna uzi fulani kuna mdau mmoja humu alisema zinaanzia laki 6
Barikiwa cheifIst inatumia engine kama ya 2NZ ambayo ni cc1290 na pia wana za 1NZ ambayo ni ya 1490 japo hii ya 1490 kuna chaguo la 4WD hivyo unapochagua kuwa makini i don recommend a 4WD hasa kwenye hiyo IST
Ukija kwenye Allex nayo ni kama sawa tu maana nyingi zinazokuja bongo ni za 1NZ so mule mule tu hata kwenye ractis anayo ya 1NZ ya 2wd na 4wd so kuwa makini napo anayo 2SZ ambayo ni 1290 tunaweza sema ulaji wa mafuta ni mdogo zaidi kama kwente ile ist ya 2NZ. Ila kiujumla gari zote hizo ukitoa machaguo ya 4WD(sijazielewa) ziko vizuri kwenye mafuta maana engine zake ni kama zipo sawa na ndio engine pendwa hapa kwetu. Labda sasa uangalie body ipi inakuvutia na space ya ndani ya gari. Like Ist kama unavyoona ina space ndogo sna tofaut na allex na runx so itakubana bana ! Upande wa body Chaguo ni lako kulingana na matumizi yako!
Kwann hau recommend 4WD kwny IST mkuu tupe maujanjaIst inatumia engine kama ya 2NZ ambayo ni cc1290 na pia wana za 1NZ ambayo ni ya 1490 japo hii ya 1490 kuna chaguo la 4WD hivyo unapochagua kuwa makini i don recommend a 4WD hasa kwenye hiyo IST
Ukija kwenye Allex nayo ni kama sawa tu maana nyingi zinazokuja bongo ni za 1NZ so mule mule tu hata kwenye ractis anayo ya 1NZ ya 2wd na 4wd so kuwa makini napo anayo 2SZ ambayo ni 1290 tunaweza sema ulaji wa mafuta ni mdogo zaidi kama kwente ile ist ya 2NZ. Ila kiujumla gari zote hizo ukitoa machaguo ya 4WD(sijazielewa) ziko vizuri kwenye mafuta maana engine zake ni kama zipo sawa na ndio engine pendwa hapa kwetu. Labda sasa uangalie body ipi inakuvutia na space ya ndani ya gari. Like Ist kama unavyoona ina space ndogo sna tofaut na allex na runx so itakubana bana ! Upande wa body Chaguo ni lako kulingana na matumizi yako!
Gari ikiwa full 4wd huwa ulaji wa mafuta unaongezeka tofaut na ya 2wd hata kama cc na vitu vingne inaendana... Lakini pia IST ya 4wd unaenda nayo wapi mkuu? Wakat gari zenyewe ni za town trip tu sana sanaKwann hau recommend 4WD kwny IST mkuu tupe maujanja
Tubarikiwe woteBarikiwa cheif
Hamna gari ambayo haina changamoto mkuu... Ni kuitunza tu kwa kadri unavyoweza ili kuepusha hayo majanga yasiwahiAllex zina shida kubwa kwenye mfumo wa ac
Na mimi naitaka mkuu.Bei around 1.3M hadi 1.8M model gani inadumu na haisumbui. Mwenye kujua atupie experience
Niliuliziaga nkaambiwa 900K mpya kutoka China...ila jumla 5pcs ,zinauzwa kwa punguzo 750,000/-... So nahc,huenda ikawa 600k kweliumeuliza kweli ukaambiwa bei ni hiyo maana nakumbuka kuna uzi fulani kuna mdau mmoja humu alisema zinaanzia laki 6
sjawahi kuelewa utofauti wa body ya allex na Run X. naonaga zmetofautiana majina tuIst inatumia engine kama ya 2NZ ambayo ni cc1290 na pia wana za 1NZ ambayo ni ya 1490 japo hii ya 1490 kuna chaguo la 4WD hivyo unapochagua kuwa makini i don recommend a 4WD hasa kwenye hiyo IST
Ukija kwenye Allex nayo ni kama sawa tu maana nyingi zinazokuja bongo ni za 1NZ so mule mule tu hata kwenye ractis anayo ya 1NZ ya 2wd na 4wd so kuwa makini napo anayo 2SZ ambayo ni 1290 tunaweza sema ulaji wa mafuta ni mdogo zaidi kama kwente ile ist ya 2NZ.
Ila kiujumla gari zote hizo ukitoa machaguo ya 4WD(sijazielewa) ziko vizuri kwenye mafuta maana engine zake ni kama zipo sawa na ndio engine pendwa hapa kwetu. Labda sasa uangalie body ipi inakuvutia na space ya ndani ya gari. Like Ist kama unavyoona ina space ndogo sna tofaut na allex na runx so itakubana bana ! Upande wa body Chaguo ni lako kulingana na matumizi yako!