Ipi bora? Kulipia tangazo liwe "Sponsored Ad", au kumlipa mtu mwenye followers wengi anipost?

Just_Me

Member
Mar 12, 2019
23
22
Habari wadau, nipo hapa kuomba ushauri wenu, nakutana na wafanyabiashara wengi wanaofanya biashara zao kwenye mtandao wa Instagram. Katika hawa Wafanyabiashara naona wengi wanapata mafanikio wakipostiwa na watu kuliko wale wanaotangaza kwa kulipia "Sponsored Ads" lakini bado naona idadi ya watu wanaolipia izi "Sponsored ads" inazidi kuongezeka, huenda kuna jambo silijui.

Naomba ushauri wenu wanaJF (hasa digital marketers na Wafanyabiashara waliotumia matangazo ya njia hizi) Ni kipi bora kati ya "sponsored ad" na kumlipa mtu mwenye followers wengi (Range 100k - 1m).
 
Habari wadau, nipo hapa kuomba ushauri wenu, nakutana na wafanyabiashara wengi wanaofanya biashara zao kwenye mtandao wa Instagram. Katika hawa Wafanyabiashara naona wengi wanapata mafanikio wakipostiwa na watu kuliko wale wanaotangaza kwa kulipia "Sponsored Ads" lakini bado naona idadi ya watu wanaolipia izi "Sponsored ads" inazidi kuongezeka, huenda kuna jambo silijui.

Naomba ushauri wenu wanaJF (hasa digital marketers na Wafanyabiashara waliotumia matangazo ya njia hizi) Ni kipi bora kati ya "sponsored ad" na kumlipa mtu mwenye followers wengi (Range 100k - 1m).
Kila moja ina faida na hasara zake,

Mfano
Ni rahisi zaid kutarget aina kamili ya wateja unaotaka tangazo liwafikie ukifanya Sponsered ad kuliko Sponsered post ya influencer (mtu)


Ni rahis kupima matokeo ya kampen yako kwa metrics za uhakika zaid na impact yake ukifanya sponsered ad kuliko ukimpa mtu

Kwa bajeti ndogo ya sponsered ad unaweza wafikia watu wengi (wengi wakaona tangazo lako) kuliko kwa kumpa mtu, watu wana bei kubwa zaidi hasa wenye followers wengi

Watu wengi wanakawaida ya kupuuzia sponsered ad, labda kama utafanikiwa kuifanya iwe very catch, ila wengi wakikutana na sponsered ad, hata huwa hawajisumbui

Na hyo ndo sababu inafanya wengi wanakimbilia sponsored post, sababu inakuwa kama natural, ingawa nayo inapendeza sana kama itakuwa sio kama Tangazo, Mwandiko wa mtu unaemtumia, Aina ya followers wake na aina wateja unaowalenga ina matter sana
 
Kila moja ina faida na hasara zake,

Mfano
Ni rahisi zaid kutarget aina kamili ya wateja unaotaka tangazo liwafikie ukifanya Sponsered ad kuliko Sponsered post ya influencer (mtu)


Ni rahis kupima matokeo ya kampen yako kwa metrics za uhakika zaid na impact yake ukifanya sponsered ad kuliko ukimpa mtu

Kwa bajeti ndogo ya sponsered ad unaweza wafikia watu wengi (wengi wakaona tangazo lako) kuliko kwa kumpa mtu, watu wana bei kubwa zaidi hasa wenye followers wengi

Watu wengi wanakawaida ya kupuuzia sponsered ad, labda kama utafanikiwa kuifanya iwe very catch, ila wengi wakikutana na sponsered ad, hata huwa hawajisumbui

Na hyo ndo sababu inafanya wengi wanakimbilia sponsored post, sababu inakuwa kama natural, ingawa nayo inapendeza sana kama itakuwa sio kama Tangazo, Mwandiko wa mtu unaemtumia, Aina ya followers wake na aina wateja unaowalenga ina matter sana
Mkuu asante kwa maelezo mazuri.

Mimi pia naweza kujifunza kitu hapa kwako, jee? Unaufahamu wa SEO, kama ndio tafadhali naomba darasa au recommendation ya best tutorials nianze kula taratibuu.

Regards.
 
Mkuu asante kwa maelezo mazuri.

Mimi pia naweza kujifunza kitu hapa kwako, jee? Unaufahamu wa SEO, kama ndio tafadhali naomba darasa au recommendation ya best tutorials nianze kula taratibuu.

Regards.
Sio mtaalamu sana wa kujiita pro, ila nina uielewa fulani nilioupata kutoka kupractice na kujifunza online kidogo

Kwa basics skills pitia youtube
You tube wachek simple learn


au Lumolink


For something more serios mcheki Mozpro

https://moz.com/beginners-guide-to-seo
 
  • Thanks
Reactions: dtj
sponsored ad ni bora kuliko kumlipa mtu,,,
unapotumia sponsored ad ni nzuri,unapoitumia probability ya kumfikia mlengwa ni kubwa sana kuliko kumlipa mtu,,mfano utapotangaza unauza viatu watu watakao search viatu wengi wataona tangazo lako kutokana na algorithm ya website husika hapo utakuwa unafikia niche yako unayoitaka direct,,pia unaweza weka tangazo lako liwafikie watu wa location(geographical) unayoitaka effectively,kama lionekana kwa watu wa namtumbo tu au la!

kwenye kumlipa mtu mwenye follower wengi nahisi ni nzuri kwa makampuni makubwa(Big Brands) lakini kwa mtu wa kawaida hapana ,,,,,,
 
Sio mtaalamu sana wa kujiita pro, ila nina uielewa fulani nilioupata kutoka kupractice na kujifunza online kidogo

Kwa basics skills pitia youtube
You tube wachek simple learn


au Lumolink


For something more serios mcheki Mozpro

https://moz.com/beginners-guide-to-seo
Poa mkuu acha nile pindi hapa. Ni muhimu sana hizi mambo.

La mwisho, nawezaje kuweka ile tick ya Blue kwenye account ya mtu? Naambiwa mtaani kuna watu unawalipa wanakuwekea ile tick.

Ni kweli? Au ndio changa?
 
Ahsante kwa muda wako mkuu.. Nimekuelewa sana hasa kwenye kuhusu targeting maana kwa sponsored ad inawezekana kabisa kutarget location kitu ambacho kwa kumpa influencer inakua ni vigumu kidogo..
Ila kwenye gharama naona kama Instagram wapo juu kidogo maana last time I checked wanaanzia 5$ kwa wiki na utapata views average 2,000 tu ukilinganisha na influencer mwenye 150k followers atakae charge average ya 15,000Tshs per week on average. Badala ya kulipia io dola 5 kwanini usitafute influencer mzuri mwenye target yako muelewane bei?
 
I must say.. Moderators mmefanya a poor job ya ku classify hii thread.. Hii thread haikupaswa kuwa katika matangazo madogo madogo ni thread inayowahusu Wafanyabiashara.. Sasa uku kwenye matangazo madogo mfanyabiashara atafaidika nini kutokana na advice itakayotolewa?

Putting this thread here does not in any way help it achieve its intented purpose which was to get advice from experienced Entrepreneurs and Digital marketers.
Poor job Moderators. Poor job.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom