Ipi bora kati ya MD ya UDOM, KCMC na St. Francis ?

Ipi bora kati ya MD ya UDOM, KCMC na St. Francis ?

Nenda udom. Hapa Tanzania degree za Public university zina heshima kuliko private

Mfano ukipata first class ya udom unaajiriwa popote bila shida.. ila ukipata first class ya private college kama kcmc ama st francis.. huwez kuajiriwa vyuo vya uma ufundishe.. watu watakuwa wanahis first class yako ni ya rushwa
 
Nenda udom. Public university inakuwa haraka sana kwa heshima.

Mfano ukipata first class ya udom unaajiriwa popote bila shida.. ila ukipata first class ya private college kama kcmc ama st francis.. huwez kuajiriwa vyuo vya uma ufundishe.. watu watakuwa wanahis first class yako ni ya rushwa
Kama ni kufundisha unafanyiwa interview yenye components kama 3 ikiwa ni pamoja na presentation hivyo ni uwezo wako tu.
 
Nenda udom. Public university inakuwa haraka sana kwa heshima.

Mfano ukipata first class ya udom unaajiriwa popote bila shida.. ila ukipata first class ya private college kama kcmc ama st francis.. huwez kuajiriwa vyuo vya uma ufundishe.. watu watakuwa wanahis first class yako ni ya rushwa
We sijui uko dunia ya wapi.very primitive
 
Nenda udom. Public university inakuwa haraka sana kwa heshima.

Mfano ukipata first class ya udom unaajiriwa popote bila shida.. ila ukipata first class ya private college kama kcmc ama st francis.. huwez kuajiriwa vyuo vya uma ufundishe.. watu watakuwa wanahis first class yako ni ya rushwa
Aisee..!!
 
Nenda udom. Hapa Tanzania degree za Public university zina heshima kuliko private

Mfano ukipata first class ya udom unaajiriwa popote bila shida.. ila ukipata first class ya private college kama kcmc ama st francis.. huwez kuajiriwa vyuo vya uma ufundishe.. watu watakuwa wanahis first class yako ni ya rushwa
Acha kusema uongo
 
elimu popote Japo kuna utofauti wa mandhari ya kusomea ila baada ya kumaliza wote sawa tu
 
Back
Top Bottom