elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
Tengeneza access point ya hotspot kwa kuandika internet_b kisha save mbona simpleView attachment 1237011
Si unaona hapo personal hotspot inazunguka tu inasema nimcontact carrier
Nikiweka line ya voda inakubali lo
Tumia M-Pesa Mastercard, search maelekezo yake. unaweza itumia kufanya malipo yako bila kuwa na card halisi.
Msaada jinsi ya ku-update iCloud, naambiwa imejaa napaswa kulipia kuna package za 1900/- kwa mwezi and so.... hebu nisaidieni namna ya kufanya malipo.
Sina Creditcard et al.
cc: elmagnifico
Ahsanteni wakuu kwa maelezo ya Mkuu Elmagnifico tatizo limetatulika maana nilishawaza kuuza hii simu kabisa lakin kwa sasa sitoiuza View attachment 1237748
Kama unatumia voda ni rahisi, kuna Mpesa Mastercard. Mimi natumia hiyo kulipia icloud
Ahsanteni wakuu kwa maelezo ya Mkuu Elmagnifico tatizo limetatulika maana nilishawaza kuuza hii simu kabisa lakin kwa sasa sitoiuza View attachment 1237748
Nimetokea kuzichukia iPhone sijui kwa nn maana ya kwangu imezngua na ni mpya haina hata wiki...mara inaandka emergence call ..sasa imezma naichaji hata haionyeshi kama inapeleka chaj ipo ukiishika kwa pemben kama iko chaji kunatokea shoti . Yaaan sna ham nayo kbsa. Bora tu niendlee ktumia infinixHabari za muda huu wana jamvi msaada tutani, natumia iphone 6+ tatizo lake nikiweka sim card tofauti na tigo (kwa mfano halotel, Ttcl) haitaki kuwasha mobile hotspot lakini kwa line ya tigo tu ndo inawasha hotspot .
Msaada kwa anaeweza nielekeza jinsi ya kufix hii tatzo
Umefuata ushauri wa Elmagnifico? Alichosema ndio solution. In Settings>Mobile Data>Mobile Data Network> Chini kuna sehemu imeandikwa Personal Hotspot. Kwenye APN weka "internet" kisha rudi back hotspot will be available. kama umefanya hivyo weka screenshot ukiwa umeweka internet kwenye APN
Kila laini kwenye iPhone ina setting zake za intertnet zinazojitegemea, hivyo basi kila laini itahitaji configuration zake ukitaka kutumia internet au hotspot. Kutengeneza hotspot ya laini nyingine fanya hivi
1.Fungua settings na click sehemu ya "Mobile Data"
2.Baada ya hapo utaona sehemu ya carrier click "Mobile Data Network"
3.Scroll down na utaona sehemu ya "Personal Hotspot" edit sehemu ya APN andika internet
4.Rudi nyuma kwenye settings utaona Personal Hotspot badilisha password ya wi-fi utakayopenda kutumia (by default kuna password ambayo utahitaji kuiangalia ili kutumia)
ni iPhone?Mkuu mimi simu yangu battery health inashindwa kuonyesha ipo asilimia ngapi
ni iPhone?
Mkuu mimi simu yangu battery health inashindwa kuonyesha ipo asilimia ngapi
Ukiona hivyo hio battery sio original..
Ukiona hivyo hio battery sio original..
Settings> Battery then enable Battery Percentage6 plain
Settings> Battery then enable Battery Percentage
[emoji28][emoji28][emoji28]wewe tumeshamaliza kule kwenye uzi wako,ile simu ni fafa aka bashite.Nimetokea kuzichukia iPhone sijui kwa nn maana ya kwangu imezngua na ni mpya haina hata wiki...mara inaandka emergence call ..sasa imezma naichaji hata haionyeshi kama inapeleka chaj ipo ukiishika kwa pemben kama iko chaji kunatokea shoti . Yaaan sna ham nayo kbsa. Bora tu niendlee ktumia infinix
Kama ni iPhone ni toleo gani?Mkuu mimi simu yangu battery health inashindwa kuonyesha ipo asilimia ngapi