Bado nyani hajakuletea toleo jipya IPhone 6 ya zamaniMi nikiweka Voda inakubali hotspot
Nimeweka ttcl imekataa hiyo hapa nawaza Samsung tu
weka screenshot za sehemu ulipoweka "internet" hapo kisha screenshot za sehemu ya hotspot ikiwa imegomaBado nyani hajakuletea toleo jipya IPhone 6 ya zamani
weka screenshot za sehemu ulipoweka "internet" hapo kisha screenshot za sehemu ya hotspot ikiwa imegoma
Jaribu kurestore kwa iTune inaweza fix hilo tatizo. Ila kama umesahau Email na password usijaribu hii njia maana ndiyo itakuwa mwisho wa kuitumiaView attachment 1237011
Si unaona hapo personal hotspot inazunguka tu inasema nimcontact carrier
Nikiweka line ya voda inakubali lo
Jaribu kurestore kwa iTune inaweza fix hilo tatizo. Ila kama umesahau Email na password usijaribu hii njia maana ndiyo itakuwa mwisho wa kuitumia
View attachment 1237011
Si unaona hapo personal hotspot inazunguka tu inasema nimcontact carrier
Nikiweka line ya voda inakubali lo
Umefuata ushauri wa Elmagnifico? Alichosema ndio solution. In Settings>Mobile Data>Mobile Data Network> Chini kuna sehemu imeandikwa Personal Hotspot. Kwenye APN weka "internet" kisha rudi back hotspot will be available. kama umefanya hivyo weka screenshot ukiwa umeweka internet kwenye APN
Habari za muda huu wana jamvi msaada tutani, natumia iphone 6+ tatizo lake nikiweka sim card tofauti na tigo (kwa mfano halotel, Ttcl) haitaki kuwasha mobile hotspot lakini kwa line ya tigo tu ndo inawasha hotspot .
Msaada kwa anaeweza nielekeza jinsi ya kufix hii tatzo
Kila laini kwenye iPhone ina setting zake za intertnet zinazojitegemea, hivyo basi kila laini itahitaji configuration zake ukitaka kutumia internet au hotspot. Kutengeneza hotspot ya laini nyingine fanya hiviMwenyewe nilikushakuwa nayo ilikuwa na tatizo hilo pia.
Sikuwahi kupata suluhisho la moja kwa moja.
Kila laini kwenye iPhone ina setting zake za intertnet zinazojitegemea, hivyo basi kila laini itahitaji configuration zake ukitaka kutumia internet au hotspot. Kutengeneza hotspot ya laini nyingine fanya hivi
1.Fungua settings na click sehemu ya "Mobile Data"
2.Baada ya hapo utaona sehemu ya carrier click "Mobile Data Network"
3.Scroll down na utaona sehemu ya "Personal Hotspot" edit sehemu ya APN andika internet
4.Rudi nyuma kwenye settings utaona Personal Hotspot badilisha password ya wi-fi utakayopenda kutumia (by default kuna password ambayo utahitaji kuiangalia ili kutumia)
Pancras Suday he mentioned it being solvedYeaaah imekubaliii View attachment 1237444
Sorry sikuweza kusoma comments zotePancras Suday he mentioned it being solved
Tumia M-Pesa Mastercard, search maelekezo yake. unaweza itumia kufanya malipo yako bila kuwa na card halisi.Msaada jinsi ya ku-update iCloud, naambiwa imejaa napaswa kulipia kuna package za 1900/- kwa mwezi and so.... hebu nisaidieni namna ya kufanya malipo.
Sina Creditcard et al.
cc: elmagnifico