iPhone: Jinsi ya kuilipia ili wa unlocked icloud

iPhone: Jinsi ya kuilipia ili wa unlocked icloud

Kigger

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
870
Reaction score
814
baada ya kukaa muda sasa naona bora nilipia iwe waifungue simu yangu sasa jinsi ya kulipia izo ela ndio sifahamu msaada wadau na nikiasi gani naweza lipia
 
Haa unachekesha kweli .. nan amekulissha matango pori
 
Kigger utamaliza pesa yako bure hiyo kitu huwezi kupata hao hawawezi kutoa icloud lock utawatumia hiyo pesa na mwisho wa siku utabaki na tatizo lako,kama ni simu yako halali mwombe huyo aliyekuuzia aitoe hiyo icloud lock basi,ila kama ni ya magumashi basi wewe ni Mfungwa mtarajiwa.kwa maelezo zaidi tafuta kwenye jukwaa hili kuna UZI unasema IPHONE 4S IMEIBIWA soma topic zote ndo utajua sasa kwa nini nimekwambia wewe ni MFUNGWA MTARAJIWA.
 
Last edited by a moderator:
baada ya kukaa muda sasa naona bora nilipia iwe waifungue simu yangu sasa jinsi ya kulipia izo ela ndio sifahamu msaada wadau na nikiasi gani naweza lipia
Bila shaka hiyo simu ni yako:
  1. Umesahau iCloud password
  2. Ila una (a) Email husika- iliyotumika kufanyia activation simu yako (b) IMEI number (c) find my phone/ Lost mode ziko OFF
Kama (1) na (2) hapo juu ni sahihi, ondoa shaka inawezekana weka hizo taarifa mbili nikupe bei kwenye hii link: https://www.jamiiforums.com/tech-ga...51-huduma-unlocking-phone-by-imei-number.html

Ila iwapo (1) & (2) siyo sahihi basi hiyo simu haiwezekani, waweza kuwapa watoto wachezee kwa sasa

Karibu
 
Unataka kumlipa nani? Hiyo lock ipo kuzuia wizi wa simu so hawawezi kuitoa Apple kama hauna password. Anayeweza kuitoa ni mwenye simu original.
 
Usipoteze muda wako mkuu
Kama ni iphone 5s tuongee biashara mi nataka kioo tu
 
baada ya kukaa muda sasa naona bora nilipia iwe waifungue simu yangu sasa jinsi ya kulipia izo ela ndio sifahamu msaada wadau na nikiasi gani naweza lipia

Acha kununua vitu vya wizi..kwanza unaonekana hata hujui icloud kazinyake nini? Nenda katumie mi techno hiyo
 
Mm ninepasua kioo changu pia japo bado inapiga mzigo, kama ninyeusi tuongee biashara mm nataka kioo tu vingine vyote nakuachia
 
Bila shaka hiyo simu ni yako:
  1. Umesahau iCloud password
  2. Ila una (a) Email husika- iliyotumika kufanyia activation simu yako (b) IMEI number (c) find my phone/ Lost mode ziko OFF
Kama (1) na (2) hapo juu ni sahihi, ondoa shaka inawezekana weka hizo taarifa mbili nikupe bei kwenye hii link: https://www.jamiiforums.com/tech-ga...51-huduma-unlocking-phone-by-imei-number.html

Ila iwapo (1) & (2) siyo sahihi basi hiyo simu haiwezekani, waweza kuwapa watoto wachezee kwa sasa

Karibu

Mimi nina ipad yangu ina hizo number email ya icloud sina
 
Kigger utamaliza pesa yako bure hiyo kitu huwezi kupata hao hawawezi kutoa icloud lock utawatumia hiyo pesa na mwisho wa siku utabaki na tatizo lako,kama ni simu yako halali mwombe huyo aliyekuuzia aitoe hiyo icloud lock basi,ila kama ni ya magumashi basi wewe ni Mfungwa mtarajiwa.kwa maelezo zaidi tafuta kwenye jukwaa hili kuna UZI unasema IPHONE 4S IMEIBIWA soma topic zote ndo utajua sasa kwa nini nimekwambia wewe ni MFUNGWA MTARAJIWA.

Waisrael wanafungua kama kawa.
Wacha tujaribu huko.
 
Tatizo watanzania wengi wanapenda kudanganywa ukiwaambia ukweli wanakuchukia
Na kama ukweli unaoujua ni half baked lazima wakuchukie mkuu. Sio watanzania tu. Hata huku kwetu Uganda wapo
 
Scams.. U will waste ur money
Kam unazo vithibitisho kuwa ni yako, nenda kwa wakala mkuu anaitwa elite computers
 
Na kama ukweli unaoujua ni half baked lazima wakuchukie mkuu. Sio watanzania tu. Hata huku kwetu Uganda wapo
Kama ni hivyo basi UJINGA kama huu wa kukataa ukweli na kukumbatia UONGO basi uko Afrika tu.Na ni UJINGA kujisifia kwa UJINGA,
 
Back
Top Bottom