iphone icloud remover & unlocker to all simcards...

iphone icloud remover & unlocker to all simcards...

Acha uongo mkuu, kuna wafanyakazi wengine wa Apple hata hawajui icloud inatolewaje sembuse we
Wewe uko wapi mkuu? I cloud inatoka amini nakuambia nimeshafungua zaidi ya moja. nikalipia baada ya kazi. ilichukua 24hrs tu.
Wanachotaka ni picha ya icloud, country code ya nchi, na ile lost. wakishafungua wankupigia na wanataka hela zao. Mimi walinisumbua sana maana walizifungua siku ya jpili na sikuwa na simu. wakanipigia waksema nifanye actiovation nikawaambia leo ni jpili na sina hizo simu hapa, so kesho yake ndio nikafanya activation na kuwalipa. juzi nikawatumia zingine mbili ila wakawa wameongeze bei kidogo ongezeko la dola $15. wewe kama unabisha usinilipe nipe tu screen short na kuwe na uhakika wa kunilipa baada ya kazi.
 
guys anyeweza kuremove icloud na kuondoa ile find my phone na kuunlock cm itumie mitandao yote...pliz niasaidie...naombeni msaada wenu......nina iphone 5s na 6+ apa...
Nitakufanyia kazi yako ili uzi huu uelewe kama hii hitu inawezekana. weka screen short yako hapa na utaiweka hapa siku ikiwa tayari.
ila tutaanza na moja. 6+
 
Acha kumpa mwenzio matumaini, hata huko ulaya hakuna kitu kama hicho, Apple kila siku ya Mungu wanafix security holes kibaya zaidi icloud mpaka ufanye hacking za Apple database

Apple wanatumia mabilion ya dola kuifanya hiyo kazi, sizani kama kuna kiumbe ataweza!!!
 
Wewe uko wapi mkuu? I cloud inatoka amini nakuambia nimeshafungua zaidi ya moja. nikalipia baada ya kazi. ilichukua 24hrs tu.
Wanachotaka ni picha ya icloud, country code ya nchi, na ile lost. wakishafungua wankupigia na wanataka hela zao. Mimi walinisumbua sana maana walizifungua siku ya jpili na sikuwa na simu. wakanipigia waksema nifanye actiovation nikawaambia leo ni jpili na sina hizo simu hapa, so kesho yake ndio nikafanya activation na kuwalipa. juzi nikawatumia zingine mbili ila wakawa wameongeze bei kidogo ongezeko la dola $15. wewe kama unabisha usinilipe nipe tu screen short na kuwe na uhakika wa kunilipa baada ya kazi.

Nipo hapa hapa! Upo wapi ili tumalize huu utata, ninayo iPhone 5
 
Nitakufanyia kazi yako ili uzi huu uelewe kama hii hitu inawezekana. weka screen short yako hapa na utaiweka hapa siku ikiwa tayari.
ila tutaanza na moja. 6+

Aweke screen short? iPhone ipo kwenye lost model halafu ndo unasema aweke screen short au ndo mwendelezo wa uongo!
 
Kawadanganye huko huko kijijini.
nothing is impossible under the sun bro. sema 2 hiyo technology bado haijafika africa ila kwa wenze2 mbele wanakuondollea hyo icloud na cmu una2mia kama kawaida...........
 
Acha kudanganya watu mchana kweupe
Nitakufanyia kazi yako ili uzi huu uelewe kama hii hitu inawezekana. weka screen short yako hapa na utaiweka hapa siku ikiwa tayari.
ila tutaanza na moja. 6+
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom