S SakaroMbulu Member Joined May 23, 2018 Posts 12 Reaction score 3 Jul 24, 2018 #1 Habari Wanajamii, natafuta iphone 7 plus au Samsung S8 plus Bajeti yangu ni 700,000/= Kwamwenye nayo nicheki PM tufanye biashara Asanteni.
Habari Wanajamii, natafuta iphone 7 plus au Samsung S8 plus Bajeti yangu ni 700,000/= Kwamwenye nayo nicheki PM tufanye biashara Asanteni.
theriogenology JF-Expert Member Joined Oct 7, 2016 Posts 8,748 Reaction score 15,715 Jul 24, 2018 #2 Kwa pesa hiyo hupati hizo simu Mkuu...
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,066 Reaction score 39,511 Jul 24, 2018 #3 uwe mvumilivu sana,zitaletwa zenye kasoro.
Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,590 Reaction score 6,956 Jul 24, 2018 #4 Vumilia hadi 2028 zitakuwa zimefikia hiyo bei
Rooney JF-Expert Member Joined Jan 16, 2015 Posts 3,781 Reaction score 3,941 May 21, 2019 #5 And 1 year later,zmefika hio price.. smartphones
jivatz1 Member Joined Jan 22, 2015 Posts 85 Reaction score 9 May 21, 2019 #6 https://wa.me/255679901973?text=https://wa.me/255679901973 ni whatsapp hapo nikupe iphone 7 128Gb clean condition
https://wa.me/255679901973?text=https://wa.me/255679901973 ni whatsapp hapo nikupe iphone 7 128Gb clean condition