Iphone 7 kuzinduliwa Leo

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,260
Reaction score
9,743
Hatimaye kampuni ya apple inatarajia kuzindua simu ya iphone 7 hapo leo (siku ya jumatano).
Matarajio ya wengi ni kwamba iphone 7 itakuwa na camera yenye lens mbili, na tundu la kuwekea earphone litaondolewa iwe inatumia earphone zenye kuingia sehemu ya charger.
Source: bbc swahili
 
Kesho siku ya Jumatano?
 
Kesho siyo jumatano Magufuli legeza uzi kidogo
 
Cheza na akili za watu fanya bishara you change "is" and put "was"
 
Huu ndio muda wangu wa kununua iphone 6s. Najua zitashuka bei tu.
 
Jamaa wako live wanalaunch now mwenye link atupe nimeona jamaa wa cnet wanazungumzia
 
Hizo Earpods zimeshapotea kabla hazijanunuliwa.

Hapa apple wamechemsha.

Waweke find my ear pods app
 
256 gigabytes in a phone, Is that a data center in your pocket?
 
$159 FOR SOMETHING IMMA ACCIDENTALLY DROP IN THE TOILET

 
Bado wanazingua kwny battery 1960 hawako seriaz
 
boss wa hii kampuni bwana cook ni shoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…