iPhone 6s Plus Gb 16 inauzwa

iPhone 6s Plus Gb 16 inauzwa

Kinachoshangaza: Kama apple ID siyo yako, na simu ni yako unashindwa nini kubadilisha iwe yako?????????????????????? Na unapo-download vitu na kufanya mambo mengine ambayo unaulizwa ID na password, huwa unafanyaje?

Mkuu nadhan ww sio mtumiaji wa iPhone.. skia kweye iPhone kuna vitu vitatu navyo ni Apple ID,iCloud na iTunes & App Store vyote hivyo ukiamua unatumia majina tofauti mm nilisahau Apple ID tu nayo haina shida coz cm unatumia tu vizuri bila shida yeyote ile na kama unataka nakupeleka wanapotoa hiyo apple id then tutapunguziana kwenye bei..
 
Unalekebish mkuu kariakoo pale china plaza wapo mafundi kibao wanatoa hiyo Apple ID
Sasa si urekebishe ndo uiuze? Kwa mtazamo wangu kuna uwezekano mkubwa hio simu ni ya wizi. Kua makini na wewe usijepata matatizo.
 
Sasa si urekebishe ndo uiuze? Kwa mtazamo wangu kuna uwezekano mkubwa hio simu ni ya wizi. Kua makini na wewe usijepata matatizo.
Nipo makini mkuu ndio maana ninauza kitu changu cha halali kabisa. kama unataka nichek inbox tufanye biashara..
 
Back
Top Bottom