Mimi nina 200,000 cashUnalekebish mkuu kariakoo pale china plaza wapo mafundi kibao wanatoa hiyo Apple ID
Ingia kupatana uangalie bei ya iphone 6 gb 16 isiyokuwa na tatizo lolote ndio uje kutangaza bei hukuWakuu nina iPhone 6s Plus ninaiuza but appe id ni y mtu mwingine alisahau password kama hutojari njoo inbox bei 550k
Iphone 6 mpya gb 16 450 boss fuatilia vizuriHii bado mpya mkuu
Kama ndivyo ,nakushauri ubadili kwanza hiyo icloud id kwa jina lako alafu ndo utafute soko.Vinginevyo........!!sijuiUnalekebish mkuu kariakoo pale china plaza wapo mafundi kibao wanatoa hiyo Apple ID
Wewe ni mwizi au unauza mali ya wizi. Kusahau password kama simu ni yako halali mbona kubadilisha ni rahisi sana. Kuna mama mmoja alinyangannywa simu iphone wiki iliyopita baada ya kushikiwa kisu. Ngoja nifanye connection naye amtume mtu akaiangalie.Sio wizi mkuu hii simu ni yangu kabsa. fika bei nikuuzie haina tatizo lolote ni hiyo tu Apple ID ya mtu mwingine alisahau password
Mkuu Acha mikwara ya kishamba hii cm ni yangu. na ndio ninayoitumia hapa. siwezi kuuza kitu cha wizi madhara yake ni makubwa sana. ww kama unaitaka njoo nikuuzie bei 550k but maelewano yapo tatizo ni hilo tu apple id sio yangu ila vitu vyote iko poa kabisa...Wewe ni mwizi au unauza mali ya wizi. Kusahau password kama simu ni yako halali mbona kubadilisha ni rahisi sana. Kuna mama mmoja alinyangannywa simu iphone wiki iliyopita baada ya kushikiwa kisu. Ngoja nifanye connection naye amtume mtu akaiangalie.
Sawa mkuu nitafanya hivyo then nitarudi tena jukwaani kutafuta sokoKama ndivyo ,nakushauri ubadili kwanza hiyo icloud id kwa jina lako alafu ndo utafute soko.Vinginevyo........!!sijui[/ Sawa mkuu nitafanya hivyo then nitarud tena jukwaan kutafuta soko..
Yaani ninunue calculator kwa sh 550,000/=Wakuu nina iPhone 6s Plus ninaiuza but appe id ni y mtu mwingine alisahau password kama hutojari njoo inbox bei 550k
Kinachoshangaza: Kama apple ID siyo yako, na simu ni yako unashindwa nini kubadilisha iwe yako?????????????????????? Na unapo-download vitu na kufanya mambo mengine ambayo unaulizwa ID na password, huwa unafanyaje?Mkuu Acha mikwara ya kishamba hii cm ni yangu. na ndio ninayoitumia hapa. siwezi kuuza kitu cha wizi madhara yake ni makubwa sana. ww kama unaitaka njoo nikuuzie bei 550k but maelewano yapo tatizo ni hilo tu apple id sio yangu ila vitu vyote iko poa kabisa...
Apple ID unaifahamu wewe na jamaa zako.wa China plazaSamahani mkuu unajua maana ya Apple ID? tuanzie hapo kwanza.. nisije nikabishana na mtu anae tumia itel. hajui nn maana y Apple ID.