deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 936
- 511
Acha kukurupuka, ukiwa kwenye mitandao usihisi kila mtu ni kama wewe......
Na katafute basi uibe ili uwe na kopo la iphone
Problem solved at last mke wangu amekumbuka password yake.
Next time tumia akili kufikiri, kwa kuwa wewe ni kibaka unahisi kila mtu ni kibaka?
Mkuu hauna haja ya kumtukana aisee, huo ndio ukwel unapo reset lazima uweke password sasa ulifanikiwa vp kureset km hauna password? Wewe ni liongo tena kikubwa hiyo simu ni ya uwizi, narudia tena ulifanyaje reset bila password? Utachomwa moto kwa tabia ya uongo na uwizi, Haya msalimie mkoe mpe zawadi ya kukutunzia password.