kidcankilldwansekalhonapy
New Member
- Dec 20, 2021
- 2
- 0
oya man naomba unisaidie maana simu yangu pia ina tatizo hilo hilo ila niko arushaKwanza haiitwi AC inaitwa IC, kutokana na uzoefu inawezekana mkubwa kukawa na hitafu ktk components nyinginezo Kama capacitor, resistor au diode ambazo zipo kwenye power section sema fundi kaamua kukwambia IC ili akupige zaidi au hajui hitilafu ilipo,vyovyote iwavyo inarekebishika na wala sio gharama kubwa sana