relato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 689
- 986
Ha ha ha ha hamimi nna tecno werevaa maisha yangu yote.
na ikiibiwa hii basi ndo narudi analog
Hata Mimi sasa hivo Niko tecno wereve shoga angu. Toka niibiwe Ka s5 kangu mtaa wa sina hamu. Nimebaki na tecno wereva c8 Hata wakitaka kuiiba waiibe tu,lakini nilivyo makini nayo. Toka niibiwe nimeacha upuuzi wa kutokuwa makini na mkoba wangu

