Ina version gni ya OS. sina utaalamna simu but ninafuatilia mambo ya teknolojia kuna kitu kintwa Jail braking. kama ina latest iiOS itakuwa kazi kubwa kidogo but kwa uwezo wako nadhani huwezi kushindwa. But wakati unasubiri wataalamu jua version ya OS au firmwaare. Wadondoshee hapa wataalamu wakupe njia.
mkuu ebu niambie ni baseband gani na pia ni firmware gani ili nikuelekeze namna ya Jailbreak na kisha succesful unlock kwani hayo ndio ya msingi mkuu na kama una idea kabisa pia tufahamishane mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.