iPhone 11... kuvunja rekodi?

dah yaani we jamaa aisee!!
 
Masikini ndo wanaolalamika kuhusu Apple wakati wateja wao hawana shida na bidhaa wanazonunua.
Maskini hawalalamiki, tatizo ni mashoga kina Tim Cook na wafuasi(mashoga wenzie) kudanganya watu kuwauzia simu zenye teknolojia ya nyuma na hao ma isheep kujiona wana kitu cha maana kumbe mavi.
 
Asante mkuu umeniwahi...I was going to say this...tatzo Uumini unazidi sana na kuua uhalisia hamna kizuri kisicho na kasoro!
Isheep wao apple ni perfect 100%, wao hawakosei, ni zaidi ya malaika. Hata apple akiwauzia mavi wao watasema hii ni perfect and premium product na watainunua kwa fujo. Imani ni jambo la hovyo sana.
 
Ukiona mtu analinganisha ios na android ujue huyo hana akili kabisa. Unakuta taahira anasema ios nyepesi, umeilinganisha kwenye simu gani?

Hata wataalamu wa simu wakifanya ulinganifu wa simu sijawahi kuona wanazungumzia operating system zaidi ya hardware tu.

Sasa utakuta li-isheep linakomaa ios nyepesi na fluid, unajua kabisa hili halijui chochote.
 
Umepanic!!
Maskini hawalalamiki, tatizo ni mashoga kina Tim Cook na wafuasi(mashoga wenzie) kudanganya watu kuwauzia simu zenye teknolojia ya nyuma na hao ma isheep kujiona wana kitu cha maana kumbe mavi.
 

Apple wahuni sana ogopa mmarekan ana akili sana, hapo wametoa yakawaida wanasoma wapinzan subirin iphone 12 ndo mtajuaa
 
Wanachonifrahisha ni ubora wao haushuki na bei zao haziporomoki
Tatizo ni wanabana na ukiwa mtu wa mambo mengi zinaboa sana otherwise uko kwenye ecosystem yao

Apple wanazingua kwenye downloads, kushare nk, ila ukizoea utaona kawaida.
 
Maskini hawalalamiki, tatizo ni mashoga kina Tim Cook na wafuasi(mashoga wenzie) kudanganya watu kuwauzia simu zenye teknolojia ya nyuma na hao ma isheep kujiona wana kitu cha maana kumbe mavi.
Kwasababu toka kwenye designing hadi distribution ya simu za android hakuna mashoga.

Samsung waliposupport Pride day https://news.samsung.com/us/samsung-837-hosts-pride-place-five-day-experiential-pop-nyc-pride/

Humu kuna google yenu. https://money.cnn.com/2015/01/12/news/companies/lgbt-brands/index.html
 
Apple wahuni sana ogopa mmarekan ana akili sana, hapo wametoa yakawaida wanasoma wapinzan subirin iphone 12 ndo mtajuaa
wenzie wameishaondoa notch,wako ultrasonic scanner,kioo angavu zaidi 4k nk.

angalia kitu atafanya 2020


atatoa kioo cha full hd,ataondoa notch kamaliza kisha anawekea kondoo wake wale.
 
Zenye ram kubwa ni zile intended kwenye masuala ya multimedia kama studio za mziki au video editing na graphix. Ila chukua mfano wa mac air zinakuwa na ram ndogo 2gb lakini so efficient
 
Mkuu nilikuwa na mac air ina ram 2gb na nilikuea na pc ya windows ina 4gb mac air nlikuwa nimeiweka windows 7, nikawa kote nimeweka game la call of duty modern welfare, kwenye air lilikuwa linacheza tu smoothly
Hio 2GB browser tu ukifungua tabs kadhaa itaanza kuwa slow sembuse kurun games ama app nyengine.
 
Mkuu nilikuwa na mac air ina ram 2gb na nilikuea na pc ya windows ina 4gb mac air nlikuwa nimeiweka windows 7, nikawa kote nimeweka game la call of duty modern welfare, kwenye air lilikuwa linacheza tu smoothly
games hazirun kwenye ram tu, bila kutaja processor, graphics card etc.

Na PC hazina hivyo eti sijui 2GB ram Ni efficient Hapo Ni kudanganyana tu, Kama GTA V linataka minimum 4GB ram hata uweke os gani litakuwa slow tu ukiwa na ram 2GB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…