Ipeni maneno picha hii

japo wanaomba lakini wameshikana kimkakati zaidi.........abiria chunga mzigo wako usimsubiri Mungu
 
Inapendeza kuona mkuu wa kaya akizamia katika maombi,Mungu wetu mwema aendelee kumpa hofu na unyenyekevu,kuwa rais na kumwabudu Mungu aliye hai inapendeza,barikiwa sana mh rais
Ingependeza zaidi kama pia angeiachia democracy ifuate mkondo wake
 
Tafwadhali ndugu yule ni mama mtu mzima anaweza kuwa anaringana na mama yako mzazi mkuu.....mpe heshima yake ndugu.....
kwani katukana?kuwa na chura hizo ni neema za allah,acha mihemko mkuuu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…