TheNinja JF-Expert Member Joined Jul 29, 2016 Posts 249 Reaction score 151 Aug 16, 2016 #21 Lebebez hajatokea anga hizo !! Maana ndio mambo yake haya
KIDUDU JF-Expert Member Joined Sep 17, 2012 Posts 2,557 Reaction score 1,927 Aug 16, 2016 #22 Hakuna anayetaka mke wake ashikwe na dume lingine
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Aug 16, 2016 #23 Behaviourist said: Tuambia kwanza umeshaacha kujamba mbele ya Limupenzi? Click to expand... Siwezi kuacha labda kama mashine ya tumbo iache kufanya kazi
Behaviourist said: Tuambia kwanza umeshaacha kujamba mbele ya Limupenzi? Click to expand... Siwezi kuacha labda kama mashine ya tumbo iache kufanya kazi
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Aug 16, 2016 #24 Huyo alopiga pasi hiyo suti hakuinyoosha na maji!! na moto wa ile pasi aliweka kidogo mno!!
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Aug 16, 2016 #25 Honey Faith said: Siwezi kuacha labda kama mashine ya tumbo iache kufanya kazi Click to expand... Kwani lazima iwe mbele ya limupenzi?
Honey Faith said: Siwezi kuacha labda kama mashine ya tumbo iache kufanya kazi Click to expand... Kwani lazima iwe mbele ya limupenzi?
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Aug 16, 2016 #26 Behaviourist said: Kwani lazima iwe mbele ya limupenzi? Click to expand... Nilijibu kulingana na mada husika hayo mambo mengine niachie mie mwenyewe
Behaviourist said: Kwani lazima iwe mbele ya limupenzi? Click to expand... Nilijibu kulingana na mada husika hayo mambo mengine niachie mie mwenyewe
Econometrician JF-Expert Member Joined Oct 25, 2013 Posts 17,533 Reaction score 32,757 Aug 16, 2016 #27 sio kila asimaye bwana atauona ufalme wa mungu
Fredinho JF-Expert Member Joined May 18, 2016 Posts 971 Reaction score 1,161 Aug 17, 2016 #28 Nani aliwapiga picha? maisha yamekuwa ya ajabu sana siku hizi wakati wengine wanafumba macho kusali kuna watu wamekodoa macho wanachukua picha!
Nani aliwapiga picha? maisha yamekuwa ya ajabu sana siku hizi wakati wengine wanafumba macho kusali kuna watu wamekodoa macho wanachukua picha!
othiambo JF-Expert Member Joined Nov 15, 2014 Posts 2,005 Reaction score 2,812 Aug 17, 2016 #29 Nipoiona hii picha nilikacheka na kujisemea kweli katika utawala wa magu hakunaga ushemeji..ukilenda ujinga kwamama.
Nipoiona hii picha nilikacheka na kujisemea kweli katika utawala wa magu hakunaga ushemeji..ukilenda ujinga kwamama.
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,974 Reaction score 75,056 Aug 17, 2016 #30 BigBro said: View attachment 382677 Click to expand... MUNGU HADHIHAKIWI.
SupuyaPweza JF-Expert Member Joined Oct 22, 2014 Posts 914 Reaction score 472 Aug 17, 2016 #31 "Hata akiwasalia.. Ngoja awasalie tu... mi bado nitatumbua tena hapa... safari hii nitatengua cheo cha mume wa nyumba hii na majukumu yake nikaimu mimi mwenyewe..."
"Hata akiwasalia.. Ngoja awasalie tu... mi bado nitatumbua tena hapa... safari hii nitatengua cheo cha mume wa nyumba hii na majukumu yake nikaimu mimi mwenyewe..."
BansenBurner JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,809 Reaction score 5,779 Aug 17, 2016 #32 Usiempenda kaja
BansenBurner JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,809 Reaction score 5,779 Aug 17, 2016 #33 Lemutuzz mbona simuoni si kwao hapo au yuko uani anatake selfie
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,769 Reaction score 39,536 Aug 17, 2016 #34 Bavaria said: Mama Anne Kilango ana 'Chura' wa hatari. Click to expand... Tafwadhali ndugu yule ni mama mtu mzima anaweza kuwa anaringana na mama yako mzazi mkuu.....mpe heshima yake ndugu.....
Bavaria said: Mama Anne Kilango ana 'Chura' wa hatari. Click to expand... Tafwadhali ndugu yule ni mama mtu mzima anaweza kuwa anaringana na mama yako mzazi mkuu.....mpe heshima yake ndugu.....
BansenBurner JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,809 Reaction score 5,779 Aug 17, 2016 #35 Fredinho said: Nani aliwapiga picha? maisha yamekuwa ya ajabu sana siku hizi wakati wengine wanafumba macho kusali kuna watu wamekodoa macho wanachukua picha! Click to expand... Babu yake Keanu Lumutuz
Fredinho said: Nani aliwapiga picha? maisha yamekuwa ya ajabu sana siku hizi wakati wengine wanafumba macho kusali kuna watu wamekodoa macho wanachukua picha! Click to expand... Babu yake Keanu Lumutuz
Amadoli JF-Expert Member Joined Sep 28, 2013 Posts 2,544 Reaction score 2,268 Aug 17, 2016 #36 Hivi lemutuz uyu baba yake mzazi kabisa au amekuwa adopted?
atlas copco JF-Expert Member Joined Jun 15, 2015 Posts 8,545 Reaction score 9,774 Aug 17, 2016 #37 TheNinja said: Lebebez hajatokea anga hizo !! Maana ndio mambo yake haya Click to expand...
Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,254 Aug 17, 2016 #38 Behaviourist said: Tuambia kwanza umeshaacha kujamba mbele ya Limupenzi? Click to expand... Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Behaviourist said: Tuambia kwanza umeshaacha kujamba mbele ya Limupenzi? Click to expand... Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Afande Fojuman JF-Expert Member Joined Sep 27, 2014 Posts 657 Reaction score 548 Aug 17, 2016 #39 Honey Faith said: Be the first to reply Click to expand... mkuu una umri gani?
Siasa Basi JF-Expert Member Joined Jul 10, 2016 Posts 1,493 Reaction score 4,285 Aug 17, 2016 #40 Bavaria said: Mama Anne Kilango ana 'Chura' wa hatari. Click to expand... Hahahaaa mkuu katika vyote umeona chura wa mama Anne. Hata hivyo inapendeza kwa viongozi kumtanguliza Mungu hata kama ni kwa unafiki.
Bavaria said: Mama Anne Kilango ana 'Chura' wa hatari. Click to expand... Hahahaaa mkuu katika vyote umeona chura wa mama Anne. Hata hivyo inapendeza kwa viongozi kumtanguliza Mungu hata kama ni kwa unafiki.