Ndugu Watanzani
Karibuni kwenye huduma yetu mpya ya kuhifadhi udhamini (warranty) za simu. Wadau wengi wamekuwa wakinunua simu na kupewa udhamini wa muda fulani wa simu zao. Ila pindi wakipoteza stakabadhi ama kadi za udhamini (warrant card), Inakua ngumu kufanya marejeo ya muda wa ukomo wa udhamini. Hivyo tatizo hilo tunalimaliza kwa kuweka mfumo ambao kila mtanzania anaweza kuweka kumbukumbu zake za udhamini(warranty). Kwa kuanzia tunaanza na simu na baadae vifaa vingevyo kama laptop, TV, Fridge, n.k vitawekwa.
Faida zake ni nyingi ila chache ni kama zifuatazo
JINSI YA KUFANYA
KWA SIMU MPYA
Nenda sehemu ya kuandika ujumbe mfupi kisha andika kama ifuatavyo
reg*Aina ya simu*modeli ya simu*IMEI number YAAANI Reg*Nokia*Tochi*254367746364759
Kisha tuma kwenda 15568 kisha utapata ujumbe wa ukikuambia sasa umesajiliwa.
KUJUA UDHAMINI/WARRANTY
Tuna neno: Warranty*IMEI NUMBER YAANI warranty*276485985765990
Kisha tuma kwenda 15568 utapata ujumbe ukikwambia warrant yako inaanza lini na inaishia lini
KWA WASIO NA SIMU MPYA
Kwa wale ambao simu zao tayari muda wao wa udhamini umeisha ama wamenunua siku nyingi. Unachotakiwa kufanya ni kusaijili tu simu yako ili kuendelea kupata faida nilizozitaja hapo juu.
Tuma Neno: Sajili*Aina ya simu*modeli ya simu*IMEI number yaani Reg*Nokia*Tochi*254367746364759
Kisha tuma kwenda 15568 na utapata ujumbe wa kukuhikikishia kwamba umesajiliwa.
Angalizo:
Karibuni kwenye huduma yetu mpya ya kuhifadhi udhamini (warranty) za simu. Wadau wengi wamekuwa wakinunua simu na kupewa udhamini wa muda fulani wa simu zao. Ila pindi wakipoteza stakabadhi ama kadi za udhamini (warrant card), Inakua ngumu kufanya marejeo ya muda wa ukomo wa udhamini. Hivyo tatizo hilo tunalimaliza kwa kuweka mfumo ambao kila mtanzania anaweza kuweka kumbukumbu zake za udhamini(warranty). Kwa kuanzia tunaanza na simu na baadae vifaa vingevyo kama laptop, TV, Fridge, n.k vitawekwa.
Faida zake ni nyingi ila chache ni kama zifuatazo
- Unaweza kupata kumbukumbu ya udhamini wako bila kusumbuka
- Vile vile ukipoteza simu yako (blackberry, IPAD, Nokia, Samsung Gallaxy, n.k) unaweza kuipata IMEI yako kiurahisi sana na kwenda kwa watu husika kwa ajili ya kublock simu hiyo isitumike
- Vile vile simu yako ikipotea aliyeiokota anaweza kukupata kwa kutumia IMEI number kupata simu number yako.
- Vile vile kwa wale wanaouziwa simu(vimeo) either zimetumika zikavishwa kava mpya ukaambiwa ni mpya ama mtu kaiba simu then anataka kukuuzia bado unaweza kufahamu aliyekua anaitumia kabla (kama alisajili kwenye mtandao wetu)
- Unaweza kupata historia ya wamiliki wa simu kama imemilikishwa kwa mtu zaidi ya mmoja na wote walijisajili
JINSI YA KUFANYA
KWA SIMU MPYA
Nenda sehemu ya kuandika ujumbe mfupi kisha andika kama ifuatavyo
reg*Aina ya simu*modeli ya simu*IMEI number YAAANI Reg*Nokia*Tochi*254367746364759
Kisha tuma kwenda 15568 kisha utapata ujumbe wa ukikuambia sasa umesajiliwa.
KUJUA UDHAMINI/WARRANTY
Tuna neno: Warranty*IMEI NUMBER YAANI warranty*276485985765990
Kisha tuma kwenda 15568 utapata ujumbe ukikwambia warrant yako inaanza lini na inaishia lini
KWA WASIO NA SIMU MPYA
Kwa wale ambao simu zao tayari muda wao wa udhamini umeisha ama wamenunua siku nyingi. Unachotakiwa kufanya ni kusaijili tu simu yako ili kuendelea kupata faida nilizozitaja hapo juu.
Tuma Neno: Sajili*Aina ya simu*modeli ya simu*IMEI number yaani Reg*Nokia*Tochi*254367746364759
Kisha tuma kwenda 15568 na utapata ujumbe wa kukuhikikishia kwamba umesajiliwa.
Angalizo:
- utaratibu huu umeanza kutumika baadhi ya maduka ya simu nchini.
- Jinsi ya kufahamu IMEI yako andika *#06# utaipata (IMEI=SERIAL NUMBER)
- * ni alama ya nyota
- Hakuna gharama nje ya ujumbe wa kujisaji ama kuulizia warrant au IMEI yako
- Hakuna Garama za kila mwezi wala hakuna gharama zozote za kificho.
- Huduma hii inatozwa TZS 250/= kwa kila ujumbe utakaotuma na makosa yatatozwa.
- Huduma hii ni Kwa watumiaji wa TIGO na VODACOM kwa sasa (Zantel na Airtel kufuata baadae).