Wewe naye acha chuki na viongozi wako, kama umekosa bahati basi lia na Mungu wako, sio kila kukicha we na bashite tu utadhani alikataa kukugegeda! We kwa Akili yako watoto wa kibongo uwaruhusu kusoma huku wanangonoka, unadhani darasa litatoa Elimu kweli? Na kama unawahurumia si ujenge shule binafsi kwa wazazi wote waliojazwa mimba shuleni! Sio kuharibu fedha za umma hapa!!