Ipe maneno picha hii.....!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,522
IMG-20220219-WA0004.jpg
 
Mwali Mliwaji:shika simu ongea naye akuelekeze
Boda msafirishaji:ndio boss
Mjuba mlaji:"Huku akibugia funda la konyagi katika glass" njoo naye mpaka njia ya nyuma geti la stand utaona Kuna pub moja mziki unapigwa hapohapo
Boda:nimekupata boss ovaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom