figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,681
- 59,180
Amani Nkurlu akijaza fomu ya kugombea nafasi ya Uenyekiti wa UVCCM kata ya Kawe.mia
Hlf kwa namna alivyoshika peni hajui kuandika sawasawa.
vyote iwavyo ushikaji ule wa kalamu na jinsi alivoinga'ang'ania kuna tatizo katika uandikaji wake vinginevyo awe na matatizo vidoleni.Kalamu inashikwaje mkuu???
![]()
Amani Nkurlu akijaza fomu ya kugombea nafasi ya Uenyekiti wa UVCCM kata ya Kawe.mia